Brightson7
Member
- Feb 17, 2023
- 38
- 30
Oya washkaji nisaidieni niko form 6 namaliza mwakani niko tahasusi ya hgl lkn sijui chuo niende na cozi gani ukiachana na law, naombeni msaada wenu apo wa cozi zenye fursa nyingi
Ss c tunawaza ya mbeleni jmn sio tunasoma tuu hatujui tuendakoYaan hata matokeo ya Mock hayajatoka, wee unawaza chuo ukasomee course gani, hebu piga tuit huko.
Course utakutana na kitabu cha muongozo wa TCU wakat wa kuomba vyuo.
Ukishamaliza pepa na Necta, km hujachaguliwa jeshi kwa mujibu, ndo muda mzuri wa wee kutafakari future yako.Ss c tunawaza ya mbeleni jmn sio tunasoma tuu hatujui tuendako
Zipo nyingi Education,Sociology,community development,insuarence,human resource,public relations n.kOya washkaji nisaidieni niko form 6 namaliza mwakani niko tahasusi ya hgl lkn sijui chuo niende na cozi gani ukiachana na law, naombeni msaada wenu apo wa cozi zenye fursa nyingi
Salimia kwanza. Hamna mshkaji wako hap
Shukran🙏🙏Ukishamaliza pepa na Necta, km hujachaguliwa jeshi kwa mujibu, ndo muda mzuri wa wee kutafakari future yako.
Sahivi komaa na masomo.
Zipo nyingi Education,Sociology,community development,insuarence,human resource,public relations n.k
Faulu Kwanza mdogo wangu utajua Tu ila angalia unapenda nini then angalia na future yako insha'Allah utaenda kufanya unachopenda sio unachotamaniOya washkaji nisaidieni niko form 6 namaliza mwakani niko tahasusi ya hgl lkn sijui chuo niende na cozi gani ukiachana na law, naombeni msaada wenu apo wa cozi zenye fursa nyingi
Kwa ufaulu wako, nadhani Dental Surgery itakufaa zaidi mkuu.Oya washkaji nisaidieni niko form 6 namaliza mwakani niko tahasusi ya hgl lkn sijui chuo niende na cozi gani ukiachana na law, naombeni msaada wenu apo wa cozi zenye fursa nyingi
Siku hizi hakuna kufeli advance 😂😂😂Faulu Kwanza mdogo wangu utajua Tu ila angalia unapenda nini then angalia na future yako insha'Allah utaenda kufanya unachopenda sio unachotamani
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app