Kwa channels hizi digitek wana jipya?

Kwa channels hizi digitek wana jipya?

pay tv inayo uza free channels. Maybe monthly subscription itakua elf2. Nawasubiria nione.
 
Hivi ni lini Watanzani mtakuwa serious? Watu hatuwezi kutengeneza hata wembe, na kutoa burudani pia kumetushinda?
 
Hivi gharama za kununua dish FTA mpaka ikamilike sh ngapi wadau?
 
Sasa king'amuz4 kuanza kuuzwa rasmi tarh moja March. Bei Tsh 145,000. Chnls 22 free.Local zipo 10. Hapo vipi? Bado package ya kulipia haijatolewa.
 
Sasa king'amuz4 kuanza kuuzwa rasmi tarh moja March. Bei Tsh 145,000. Chnls 22 free.Local zipo 10. Hapo vipi? Bado package ya kulipia haijatolewa.

Kwa lugha nyepesi,Startimes na Ting ndio basi tena. Maana kama 20 channels zinapatikana free, wakati kwenye Startimes hazizidi 5.. Ndio basi tena!

Ngoja tusubiri tuone hizo za kulipia zitakuawaje.Ila frankly speaking wakiweka channels za kulipia za uhakika huenda wakawa wamekidhi kiu yetu ya muda mrefu..
 
Jamani, ving'amuzi wanatuyeyusha,,,,nawashauri marafiki zangu nunueni dish ya chanels za bure then muweke lnb zaidi ya 3 mtapata channels nyingi sana na nzuri kuliko kuwa na vingamuzi ambavyo wanachukua channels za bure na kuwauzia watanzania ambao bado wanajikongoja kiuchumi....mimi napata channels zote bure ambazo zinaonekana na digitek na asilimia 80 ya zinazoonekana startimes........watanzania tunadanganyana sana...
 
Kama wapo walionunua leo watoe mrejesho wa ubora wa picha maana channel zimeshatajwa tayari.
 
Wakuu kati ya hivi vingamuzi ni kipi nikinunua nitaweza kuangalia WWE?

startimes kupitia e.tv.unaweza kucheck. kuna chaneli inaitwa ten spots hii ndiyo kali zaidi kwa WWE sasa hii ipo kwenye milan cable cjui kwenye ving'amuzi vingine kama ipo
 
Hii mambo ya TV hapa bongo bado haijakaa sawa, Ingependeza kama channels zote za ndani hapa Tanzania zingepatikana kwa kila dekoda na serikali kuweka kiwango fulani ili kupata zote (kama ni muhimu)...
 
Kwa wale wenye DSTV naona inafaa sana....manake zile local channels zinazo kosekana kwenye DSTV zinapatikana huku.
Nunua tv yenye king'amuzi local channel zote unapata free
 
Back
Top Bottom