Kwa boys woote mada nzito

Kwa boys woote mada nzito

Humu kuna boys? okey Easter njema boys wote
 
Kijana badala ya kujishughulisha na kazi unakaa unawaza mademu mda woote ni mapenzi mchana kutwa unatunga tunga tu sms za mapenzi ww unamiaka 26 unakuwa na sura mzee wa miaka 76 kisa kuwazawaza mademu tu kutwa fanya kazi acha kuwaza wa mama mwanaume jitumeee

alise mama upendo ukizidi ni noma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom