Ukiwa mrembo na unataka kutoka ki maisha njoo Dar
Dar binti mrembo anaconfidence kuliko mwenye degree na masters
Kwa Dar, binti mzuri anaishi maisha expensive kuliko maisha ya mkuu wa chuo mikoani
Kwa Dar, watu wako tayari kuwekeza kwa binti mrembo kuliko walivyotayari kuwekeza kwenye vipaji na business idea
Kwa Dar, ukiwa mrembo utamiliki gari ukiwa binti mdogo kabisa kuliko mikoa mingine Tz
Kwa Dar, binti mrembo kulala njaa ni kwa kujitakia tu ila kuna kila resources za kumtunza binti mrembo
Note: ukiwa mrembo na ukajaliwa na mswambanda wa maana...jihesabu miongoni mwa watu waliobarikiwa zaidi Tz.
Uzi tayari.
# try to prove me wrong.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dar binti mrembo anaconfidence kuliko mwenye degree na masters
Kwa Dar, binti mzuri anaishi maisha expensive kuliko maisha ya mkuu wa chuo mikoani
Kwa Dar, watu wako tayari kuwekeza kwa binti mrembo kuliko walivyotayari kuwekeza kwenye vipaji na business idea
Kwa Dar, ukiwa mrembo utamiliki gari ukiwa binti mdogo kabisa kuliko mikoa mingine Tz
Kwa Dar, binti mrembo kulala njaa ni kwa kujitakia tu ila kuna kila resources za kumtunza binti mrembo
Note: ukiwa mrembo na ukajaliwa na mswambanda wa maana...jihesabu miongoni mwa watu waliobarikiwa zaidi Tz.
Uzi tayari.
# try to prove me wrong.
Sent using Jamii Forums mobile app