Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
Habari za majukumu ndugu zangu..
Kuna taasisi moja isiyo ya kiserikali (NGO) mkoani Arusha inayojishughulisha na kutoa huduma kwa watoto wa mazingira hatarishi ambao wanatafuta firm inayotambulika ili kuwapatia huduma ya Auditing.
Please, kama kuna anayeweza kunisaidia katika hili ani-PM then nitafanya utaratibu wa kukuunganisha uzungumze na mhusika ambae amekabidhiwa hilo jukumu....
Ahsanteni na nawatakia kazi njema
Kuna taasisi moja isiyo ya kiserikali (NGO) mkoani Arusha inayojishughulisha na kutoa huduma kwa watoto wa mazingira hatarishi ambao wanatafuta firm inayotambulika ili kuwapatia huduma ya Auditing.
Please, kama kuna anayeweza kunisaidia katika hili ani-PM then nitafanya utaratibu wa kukuunganisha uzungumze na mhusika ambae amekabidhiwa hilo jukumu....
Ahsanteni na nawatakia kazi njema