Hi, mim ni mwajiriwa kampuni binafsi, nataka nunua gari dgo kama vits na starlet, badget yangu haizid milion 6, ila ntangulize 1.5m then nitoe laki 5 kila mwezi mpaka deni liishe. Kwa aliye tayari na mpango huu ani pm tuelewane. Hata kama documents ,zote za gari atabaki nazo