Reginald12
JF-Expert Member
- Aug 9, 2012
- 264
- 145
Thanks Gefu, ishu ni kuwa nlikuwa natumia pikipk na sasa imeharibika, hivyo napata tabu sna kwenda kazini, thats y nina haraka ya usafiri. hope umenisoma jombaa
Millioni mbili hizo pikipiki mpya hupati?