BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,511
- 11,911
Misimamo mingine ya Dini ya ajabu,yaani taratibu za ndoa zikianza tuu anatoa uroda,hajui kuwa kuna watu wamefanyiwa na send off wakaachwa kwenye mataaHabari wana Jamii forums.
Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa.
Yeye ni mkristo na angependelea mkristu pia, yupo Msasani-Dar es salaam,ni mwanafunzi wa chuo mwezi wa 9 anaingia mwaka wa pili.
NB: Hayuko tayari kufanya sex kwa sasa labda mpaka Mungu akijalia akampata na taratibu za ndoa zikianza ndo ataweza kushiriki tendo hilo, kwa aliyetayari nitampa namba yake.
Asanteni