Kwa anayehitaji msichana bikra

Kwa anayehitaji msichana bikra

Being a virgin is not only about purity of the body.
 
Chuoni wanamwachia tu chuo gani hicho”o level a level mtaani kwake wanamwangalia tu
 
Kama hayuko tayari kufanya saiv anamtafuta wa nini?Hakuna mahusiano bila kugegedana nowdays

Hahahahahaaaaa Mpwa anatafuta wa vocha, Usafiri, smartphone na chupi na tight. Nawajua vizuri mno. Aje kwangu aone asipokimbia mwenyewe.... Ubahili kwangu uko damuni. Ni nature
 
Hizi bikra za mchina hizi zitaingiza sana watu chaka!
 
Habari wana Jamii forums.

Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa.

Yeye ni mkristo na angependelea mkristu pia, yupo Msasani-Dar es salaam,ni mwanafunzi wa chuo mwezi wa 9 anaingia mwaka wa pili.

NB: Hayuko tayari kufanya sex kwa sasa labda mpaka Mungu akijalia akampata na taratibu za ndoa zikianza ndo ataweza kushiriki tendo hilo, kwa aliyetayari nitampa namba yake.

Asanteni

Wajihi wake ukoje?
Halafu mi ntajuaje kama kweli hajawahi kushiriki ngono kwa njia ya kawaida, anaruhusu ukaguzi kabla ya mahusiano kuanza?
 
Wanawake wa siku hizi shida tupu alafu anajifanya mlokole kuna mlokole anaye nadisha bikra kwenye mitandao huyo pepo yeye aseme ukweli ameshafanya ufuska kachoka sasa anasaka ndoa kiujanja ujanja kama mimi hawezi kunipata labda atunge mbinu nyingine
 
Yupoje???

Ni Mweupe???

Habari wana Jamii forums.

Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa.

Yeye ni mkristo na angependelea mkristu pia, yupo Msasani-Dar es salaam,ni mwanafunzi wa chuo mwezi wa 9 anaingia mwaka wa pili.

NB: Hayuko tayari kufanya sex kwa sasa labda mpaka Mungu akijalia akampata na taratibu za ndoa zikianza ndo ataweza kushiriki tendo hilo, kwa aliyetayari nitampa namba yake.

Asanteni
 
Hivi bikra nayo imekua bidhaa hadimu kiasi hicho kweli,,,????
Maana katika hali ya kawaida mwanamke yeyote ambaye hajaolewa lazima awe bikra na kama ikitokea amepoteza bikra yake bahati mbaya basi najua ni wachache sana,,,!!

Nenda kamwambie huyo aliyekutuma kwamba asilimia 70 ya JF members ambao hawajaolewa basi ni mabikra.

Hii ni kwa mujibu wa Asha Dii.
 
Habari wana Jamii forums.

Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa.

Yeye ni mkristo na angependelea mkristu pia, yupo Msasani-Dar es salaam,ni mwanafunzi wa chuo mwezi wa 9 anaingia mwaka wa pili.

NB: Hayuko tayari kufanya sex kwa sasa labda mpaka Mungu akijalia akampata na taratibu za ndoa zikianza ndo ataweza kushiriki tendo hilo, kwa aliyetayari nitampa namba yake.

Asanteni

Mwambie asubiri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom