Kwa anayehitaji msichana bikra

Kwa anayehitaji msichana bikra

Joined
Mar 1, 2015
Posts
43
Reaction score
41
Habari wana Jamii forums.

Ninarafiki yangu wa kike ana miaka 20 ni virgin,anatafuta rafiki wa kiume atakayeanza nae mahusiano na baadae Mungu akipenda wafunge ndoa.

Yeye ni mkristo na angependelea mkristu pia, yupo Msasani-Dar es salaam,ni mwanafunzi wa chuo mwezi wa 9 anaingia mwaka wa pili.

NB: Hayuko tayari kufanya sex kwa sasa labda mpaka Mungu akijalia akampata na taratibu za ndoa zikianza ndo ataweza kushiriki tendo hilo, kwa aliyetayari nitampa namba yake.

Asanteni
 
Kama hayuko tayari kufanya saiv anamtafuta wa nini???? Hakuna mahusiano bila kugegedana nowdays
Ndio.. Mh kaagiza wapigwe tu, kama hataki kupigwa faida ya kuwanae iko wapi... Piga tu (PT), Ila nitumie namba yake
 
Nitumie picha take pm, yupo chuo alafu hajasex lands veta
 
Nyie mnamtafuta wa kumuuzia Mbuzi kwenye gunia, hamna lolote
 
She is not to tell the word may be she didnt ger a man who can hold on to itll the end
 
Hakuna anayeuziwa mbuzi kwenye gunia ndo maana akasema atafanya sex onprocess za ndoa kama Mungu atamjalia kumpata
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom