kwa anaejua plz msaada !

EL MAGNIFICAL

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
938
125
jamani kuna jambo kwangu linanitatiza sana !
jambo lenyewe ni kuhusu magonjwa ya zinaa!

kuna mshikaji wangu alikumbana na balaa hilo sasa akomba msaada nimsindikize hospital, tulipofika hospital baada ya vipimo ilionekana ana tatizo la UTI akapewa dawa akzitumia lakini uponyaji ukawa f !

baadae akaenda hospital nyingine kuchukua vpimo akaonekana ana gono !
swala ilo lilimchanganya sana akaona bora aende hospital nyingine ajue hospital ipi ilikua sahihi lakini nako huko alipewa majibu tofauti!

hospital alizotumia ni kubwa kama mbeya rufaa agha khan
hospitali ya mkoani mbeya !

dispensary ndo usiseme lakini kutambua nn kimsumbuacho ndo ilikua tatizo mpka leo kiasi kwamba amekata tamaa kabisa!

swali langu je hospital inakuaga ngumu kutambua aina za magonjwa haya yakiwa machanga !

vile vile naomba nijue kama kuna dawa ambayo hutibu magonjwa hayo kwa ujumla bila kubagua ila isiwe ya kienyeji !
ajuaye anipe msaada !!!!!!
 
sema dalili zake unaweza ukasaidiwa, UTI sio ugonjwa wa zinaa to start with
 
Eleza dalili alizonazo kwa ufasaha
Anajisikiaje anapokojoa?
Mkojo una rangi gani?
Kuna dalili za usaha?
Madaktari waliwahi kufikiria NGU/NSU?
 
jamani kuna jambo kwangu linanitatiza sana !
jambo lenyewe ni kuhusu magonjwa ya zinaa !
kuna mshikaji wangu alikumbana na balaa hilo sasa akomba msaada nimsindikize hospital, tulipofika hospital baada ya vipimo ilionekana ana tatizo la UTI akapewa dawa akzitumia lakini uponyaji ukawa f !
baadae akaenda hospital nyingine kuchukua vpimo akaonekana ana gono !
swala ilo lilimchanganya sana akaona bora aende hospital nyingine ajue hospital ipi ilikua sahihi lakini nako huko alipewa majibu tofauti !
hospital alizotumia ni kubwa kama mbeya rufaa
agha khan
hospitali ya mkoani mbeya !
dispensary ndo usiseme lakini kutambua nn kimsumbuacho ndo ilikua tatizo mpka leo kiasi kwamba amekata tamaa kabisa !
swali langu je hospital inakuaga ngumu kutambua aina za magonjwa haya yakiwa machanga !
vile vile naomba nijue kama kuna dawa ambayo hutibu magonjwa hayo kwa ujumla bila kubagua ila isiwe ya kienyeji !
ajuaye anipe msaada !!!!!!

kwa anaejua plz msaada
Ana dalili gani? majibu yake yameandikwaje? hali hiyo ilianzaje? ni baada ya ngono bila ya kinga? ametumia dawa gani? Toa majibu hayo tukusaidie.
 
sema dalili zake unaweza ukasaidiwa, UTI sio ugonjwa wa zinaa to start with

maumivu chini ya kitovu sanasana alfajiri
maumivu wkt wa kukojoa
mkojo umekua wa njano
hizo zilikua dalili za kwanza kabisa baada ya matibabu ya hapa na pale dalili kalibia zote zimepotea kilichobaki ni mkojo tu ambao rangi ndo imegoma kurudi ya mwanzo !
 
Eleza dalili alizonazo kwa ufasaha
Anajisikiaje anapokojoa?
Mkojo una rangi gani?
Kuna dalili za usaha?
Madaktari waliwahi kufikiria NGU/NSU?


dalili za usaha hamna ndugu !
kuhusu NGU/NSU hamna DK yoyote aliyewahi kuhisi ndo kwanza naisikia kwako mkuu labda nipe maelezo yake inakuaje !
 
kwa anaejua plz msaada
Ana dalili gani? majibu yake yameandikwaje? hali hiyo ilianzaje? ni baada ya ngono bila ya kinga? ametumia dawa gani? Toa majibu hayo tukusaidie.

dalili; maumizu ya tumbo alfajiri, maumivu wkt wa kukojoa na rangi yake kuwa njano, kuhusu majibu ndo imekua mchanganyiko cuz kili hospital watoa ripot yake ! hali hii ilitokea baada ya ngono bila kinga ni kweli, dawa zilizotumika kiukweli majina yake yamesahaulika because tangu roho ya kukata tamaa ilipomuingia ni mda kidogo so majina yamesahaulika !
bt ametumia dawa nyingi ikiwa pamoja na za vidonge na sindano !
 
Mkuu km ni UTI chanzo mara nyingi ni uchafu esp kutokana na vyoo vya kukaa ambavyo havizingatiwi usafi....lakini km ni S.T.D's unatakiwa umwone mtaalamu na kueleza ukweli kuepuka madhara makubwa baadae...baada ya kupona nakushauri kuwa makini,kwa kua km umeweza kupata hilo ni dhahiri hata kubwa linaweza kukupata...kuwa makini (umesema ni rafiki,lakini nalazimika kuamini tofauti)
 
Mkuu km ni UTI chanzo mara nyingi ni uchafu esp kutokana na vyoo vya kukaa ambavyo havizingatiwi usafi....lakini km ni S.T.D's unatakiwa umwone mtaalamu na kueleza ukweli kuepuka madhara makubwa baadae...baada ya kupona nakushauri kuwa makini,kwa kua km umeweza kupata hilo ni dhahiri hata kubwa linaweza kukupata...kuwa makini (umesema ni rafiki,lakini nalazimika kuamini tofauti)

poa bwana mkubwa inaonekana na we ni moja kati ya waaminio kama huyui kusoma basi picha ni mwandiko tosha !
kiukweli si mimi bt kuna mshkaji wangu ambaye yamemkuta !
any way nashukulu ushauli mzuri bro !!!!!!!!!!!!!
 
dalili za usaha hamna ndugu !
kuhusu NGU/NSU hamna DK yoyote aliyewahi kuhisi ndo kwanza naisikia kwako mkuu labda nipe maelezo yake inakuaje !

NGU-Non Gonnococcal urethritis, NSU-Non Specific Urethritis. Hizi ni aina ya UTI (urinary tract infections) ambazo huwa ni vigumu kuzitambua. Baadhi ya hizi NGU/NSU at some stages zinaweza kuonekana kama gono, lakini hazikubali matibabu ya gono. Zinasababishwa na vijidudu ambavyo havihusiki na magonjwa ya zinaa. Baadhi ya vijidudu vinaweza vikatokea hata mdomoni (kutokana na oral sex) ambako villikuwa havina madhara lakini vikifika kule chini vinaleta madhara, baadhi vinaweza vikatoka kwenye uchafu wa aina mbalimbali, including kinyesi, choo, nguo iliyochafuka (contaminated), kwenye ngozi n.k.
Muulize kama ameishawahi kupigwa sindano ya Powercef

Na Je amewahi kupimwa Prostatitis? Muulize...
then come back here.
 
Kuna mzee mmoja alipata dalili kama hizo lakini tatizo ilikua ni Prostate

Vp huyo jamaa anafika 50? kama ni ndiyo, try with prostate cz naona kama dalili zinafanana
 
maumivu chini ya kitovu sanasana alfajiri
maumivu wkt wa kukojoa
mkojo umekua wa njano
hizo zilikua dalili za kwanza kabisa baada ya matibabu ya hapa na pale dalili kalibia zote zimepotea kilichobaki ni mkojo tu ambao rangi ndo imegoma kurudi ya mwanzo !

Kama hizo dalili nyingine zimepotea means ametibiwa na kupona, mkojo wa njano is neither a symptom of UTI nor of STI, mkojo kuwa wa njano ni kawaida kwa mtu ambaye hanywi maji ya kutosha, mshauri anywe maji kwa wingi halafu aangalie kama mkojo hautaclear.

Lakini njano kwenye mkoja yaweza kuwa kwa ajili ya jaundice. Ikiwa ni jaundice (hyperbilirubinaemia) atakuwa na njano pia kwenye macho (conjunctiva) na kwenye mucus membranes, kama mdomoni, kama hizi sehemu nyingine si za njano then most likely tatizo litakuwa ni concentration ya mkojo imeongeza kwa sababu ya kutokunywa maji ya kutosha.

Tell him to use condom next time.
 
NGU-Non Gonnococcal urethritis, NSU-Non Specific Urethritis. Hizi ni aina ya UTI (urinary tract infections) ambazo huwa ni vigumu kuzitambua. Baadhi ya hizi NGU/NSU at some stages zinaweza kuonekana kama gono, lakini hazikubali matibabu ya gono. Zinasababishwa na vijidudu ambavyo havihusiki na magonjwa ya zinaa. Baadhi ya vijidudu vinaweza vikatokea hata mdomoni (kutokana na oral sex) ambako villikuwa havina madhara lakini vikifika kule chini vinaleta madhara, baadhi vinaweza vikatoka kwenye uchafu wa aina mbalimbali, including kinyesi, choo, nguo iliyochafuka (contaminated), kwenye ngozi n.k.
Muulize kama ameishawahi kupigwa sindano ya Powercef


Na Je amewahi kupimwa Prostatitis? Muulize...
then come back here.


no hajawahi kupimwa prostatitis wala sndano ya powercef hayakutana nayo !!!!!!!!!
 
Kama hizo dalili nyingine zimepotea means ametibiwa na kupona, mkojo wa njano is neither a symptom of UTI nor of STI, mkojo kuwa wa njano ni kawaida kwa mtu ambaye hanywi maji ya kutosha, mshauri anywe maji kwa wingi halafu aangalie kama mkojo hautaclear.

Lakini njano kwenye mkoja yaweza kuwa kwa ajili ya jaundice. Ikiwa ni jaundice (hyperbilirubinaemia) atakuwa na njano pia kwenye macho (conjunctiva) na kwenye mucus membranes, kama mdomoni, kama hizi sehemu nyingine si za njano then most likely tatizo litakuwa ni concentration ya mkojo imeongeza kwa sababu ya kutokunywa maji ya kutosha.

Tell him to use condom next time.

bwana mkubwa swala la maji siku iz kwake kawaida kwa siku hata lita 8 ana uwezo wa kumaliza lakini mkojo hubadili rangi mida atumiayo maji mengi tu ! lakini baada ya mda swala huludia palepale !!!!!!!!!!
kuhusu swala la macho yake ni meupe kabisa !!!!!!!!!!!!
 
no hajawahi kupimwa prostatitis wala sndano ya powercef hayakutana nayo !!!!!!!!!



Mwambie ajaribu kupata hii sindano ya ceftriaxone (powercef au Rocephin-hizi ni brand names, kwa hiyo yoyote sawa tu), 2g. Apige sindano 1 halafu arudie baada ya siku 1. Jumla sindano 2. Naamini matatizo yake yataisha. Ceftriaxone ni broad spectrum antibiotic ambayo inaua vijidudu vingi vya magonja ya zinaa na yasiyo ya zinaa ikiwa ni pamoja na pamoja na NGU/NSU na mengineyo.
 
Mwambie ajaribu kupata hii sindano ya ceftriaxone (powercef au Rocephin-hizi ni brand names, kwa hiyo yoyote sawa tu), 2g. Apige sindano 1 halafu arudie baada ya siku 1. Jumla sindano 2. Naamini matatizo yake yataisha. Ceftriaxone ni broad spectrum antibiotic ambayo inaua vijidudu vingi vya magonja ya zinaa na yasiyo ya zinaa ikiwa ni pamoja na pamoja na NGU/NSU na mengineyo.

ok mkuuu !
nashhukuru GOD BLESS U
 
Back
Top Bottom