Bekabundime
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 2,016
- 1,732
Wewe ndio libwege na ndio maana unaweza fanyiwa lolote na ukakaa kimya mwenye akili hawezi endeshwa ndani ya nchi na wanaojidai eti wao ndio wana haki zaidi ya wengineNyumbu ndio wanajibu shombo hapa,umeongea sawa kabisa,huyo bwege angekua anafanya hayo akiwa wa hapo tu Rwanda angeshachezea kalinye ya kutosha hukohuko alipo.nchi yetu ina amani sana wanamuacha tu aropokwe.
Huo ni wajibu wake kutekeleza kwa Kodi za wananchiMagufuli utamuona mkorofi ukiwa mjanjamjanja lakini hakuna huruma kubwa kama kujenga vituo vya afya 467 nchi nzima ni huruma ambayo hakuna mwanadamu atayemlipa hiyo fadhila magufuli ukiwa mjanjamjanja lazima utamchukia tu
Acha kuandika upuuzi wewe,huna uwezo wowote wa kusema eti mwambieni Lissu wewe ni wale wa ndio hamjielewi Mafisi maji nyieKituko hiki!
Sasa kwani yeye ndo yupo bungeni? Kama wabunge wenu wanakimbia Corona unategemea Nini?
Kwa ufupi mwambieni Lissu na taarifa zimfikie kuwa TANZANIA IKO IMARA NA HAITAYUMBISHWA NA WACHUMIA TUMBO , JPM NI KITU KINGINE,KAMA ANABIPU ATAPIGIWA!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulizeni Mbowe alifanya nini na alifeli kukamilisha hatua gani. Mpaka mliyepanga naye hampo naye tena. Wametonya Mipango Mipango yote mpaka mnaenda Kukamilisha mauaji.Na kwa yale aliofanyiwa Tundu lisu ya kupigwa risasi ili afe,lkn alie muumba akakataa je waliompiga risasi walitakiwa wafanyweje?
Akili yako inatosha kutongoza na kulea watoto usiilazimishe kufikiri mambo makubwa utapata kichaa,,,The man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote
Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya
Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote .
Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha wakaondoka wakatuachia nchi yetu
.huyu jamaa akianza kujibiwa na dola na wala si serikali msije tena mkalia lia nchi haichezewi kipumbavu namna hii nchi hii imejengwa kwa misingi ambayo hakuna wa kuibomoa
Kwa hiyo ujuaji una mwisho tumeshaaamua nchi iende na itaenda yeyote aaamuaye kuikwamisha atasagwasagwa kwa government machinery
Kuna watu wanacheza na moto
Kujenga vituo vya afya ni huruma? Una akili timamu wewe? Hizo pesa za kujenga unafikiri kazito kwake Chato! Hizo ni kodi za watz wote uliwemo na wewe usiyejitambua.Magufuli utamuona mkorofi ukiwa mjanjamjanja lakini hakuna huruma kubwa kama kujenga vituo vya afya 467 nchi nzima ni huruma ambayo hakuna mwanadamu atayemlipa hiyo fadhila magufuli ukiwa mjanjamjanja lazima utamchukia tu
Huyo katibu mkuu wa afya alitimiza wajibu wake na anajua thamani na utu wa binadamu. Wewe ndiye unataka kuonesha kwamba alikuwa kati ya waliotaka kumuua Lissu.Tundu Lisu hana shukrani aliyempa huduma ya kwanza pale Dodoma ni katibu mkuu wa afya hivi wanaotaka wakuue waokoe maisha yako just imagine
Niwekee hapa jambo moja tu ambalo Lissu aliiongea vibaya Tanzania.!Hakuna mwenye uwezo wa kuongea lolote atakalo juu ya Tanzania eti uropoke tu oils kitu uachwe muulizeni miguna miguna awasimulie anayoyapitia ss HV Tundu Lisu amejitakia mwenyewe hawezi kukanyaga ardhi ya Tanzania halafu aachwe tu yy ni nani?
wewe na hao mabwana zako wanaokutuma tambueni madaraka ni ya muda tuu so msiyatumie vibaya, baada ya miaka michache yatakwisha na mtakuwa nobody!.Tundu Lisu atapata anachokitafuta
Ww unipuuze usinipuuze haikusaidii lolote lkn labda tu niwakumbushe vijana kila kitu kina kiasi everything too much is harmful hilo lijueni ongeeni mambo yote lakini msivuke msitari mwekundu hii ni hatari usifikiri serikali ni mama yako au baba yako serikali ukiwa kazidi inaitwa dola, dola haihojiwi hutenda bila kupepesa
A good question! Mpiga risasi(muuaji) na mropokaji ( japo siyo kweli) ni yupi anafaa kuishi nchini. Hivi Wasukuma mnataka kubaki wenyewe hapa nchini?Na kwa yale aliofanyiwa Tundu lisu ya kupigwa risasi ili afe,lkn alie muumba akakataa je waliompiga risasi walitakiwa wafanyweje?
Wakati ukuta ye arudi tu hofu ya nn.The man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote
Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya
Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote .
Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha wakaondoka wakatuachia nchi yetu
.huyu jamaa akianza kujibiwa na dola na wala si serikali msije tena mkalia lia nchi haichezewi kipumbavu namna hii nchi hii imejengwa kwa misingi ambayo hakuna wa kuibomoa
Kwa hiyo ujuaji una mwisho tumeshaaamua nchi iende na itaenda yeyote aaamuaye kuikwamisha atasagwasagwa kwa government machinery
Kuna watu wanacheza na moto
MPUMBAVU KWA KIWANGO CHA JUU SANA WEWEThe man is naive ameropoka toka mwaka Jana serikali haijamjibu chochote
Amezunguka akihamasisha mabaya yote ya nchi serikali imekaa kimya
Nadhani huyu jamaa anaichukulia poa sn Tanzania kwamba unaweza Fanya chochote bila kufanywa chochote .
Jamaa anasahasau kwamba anaowategemea tuliwafurusha wakaondoka wakatuachia nchi yetu
.huyu jamaa akianza kujibiwa na dola na wala si serikali msije tena mkalia lia nchi haichezewi kipumbavu namna hii nchi hii imejengwa kwa misingi ambayo hakuna wa kuibomoa
Kwa hiyo ujuaji una mwisho tumeshaaamua nchi iende na itaenda yeyote aaamuaye kuikwamisha atasagwasagwa kwa government machinery
Kuna watu wanacheza na moto
Haikuwa sahihi umpige risasi kelele za bawaba zikunyimeje usingizi, ilikuwa ni kuzijibu hoja zake au kumpuuza.Tatizo la mungu wenu anapenda Sana bifu na ligi Kama mtoto aachi vitu vidogo vipite, ningekuwa mimk nyie ongeeni we mtachoka mi napiga kazi tu.Maneno ayachomi nyumba.Tundu Lisu atapata anachokitafuta
Eti government machinery we utakuwa umeokotwa vijijini then ukaibukia jkt.Jamii haiwezi simama maovu yakitawala endeleeni kuchochea asili za ummaMuulizeni Kabendera, Mdude wawasimulie kama ziko butu au haxiko butu brother cheza na vingine government machinery ukiwa umpinda pinda haujanyooka inakuchakata unanyooka