Kazanazo
JF-Expert Member
- Aug 16, 2023
- 722
- 1,410
Mwaka 2018 mimi na jirani yangu tuliuziwa plots kwa bei ya 350,000(laki tatu na nusu) kila mmoja kwa maana kiwanja kimoja kimetoka viplot viwili. Kwa wakati huo mfuko wa cement ulikuwa unauzwa kwa sh10,500/= ambapo kwa laki 3 na nusu(350,000) nilikuwa napata wastani wa mifuko 34 hivi.
Baada ya miaka 6 yaani 2024, jirani akaniuzia kile kiplot chake alidai ni kidogo anataka kununua kiwanja kamili akataka nimpe lak9 (900,000) nikampa tukamalizana.
Kwa sasa(2024) cement mfuko ni sh18,500 kwa laki 9 nikama wastani wa mifuko 49 ya cement ambapo ukilinganisha na kipindi kile(2018) ni tofauti ya mifuko 15. Hii ina maana amepata faida ya kama 277,500/= (15×18,500) kwa miaka 6.
Je, tuseme kuwa aliwekeza kwa sense kwamba ardhi inapanda thamani, kwa ongezeko hili la 277,500/= kwa miaka sita ni faida au hasara kama muekezaji?
NB: Tunasema ardhi inapanda thamani ila mimi nafikiri pesa ndio inashuka thamani
Baada ya miaka 6 yaani 2024, jirani akaniuzia kile kiplot chake alidai ni kidogo anataka kununua kiwanja kamili akataka nimpe lak9 (900,000) nikampa tukamalizana.
Kwa sasa(2024) cement mfuko ni sh18,500 kwa laki 9 nikama wastani wa mifuko 49 ya cement ambapo ukilinganisha na kipindi kile(2018) ni tofauti ya mifuko 15. Hii ina maana amepata faida ya kama 277,500/= (15×18,500) kwa miaka 6.
Je, tuseme kuwa aliwekeza kwa sense kwamba ardhi inapanda thamani, kwa ongezeko hili la 277,500/= kwa miaka sita ni faida au hasara kama muekezaji?
NB: Tunasema ardhi inapanda thamani ila mimi nafikiri pesa ndio inashuka thamani