VISIONEER
Senior Member
- Apr 29, 2011
- 141
- 20
Nilishabahatika kuishi na Wangoni ni wacheshi sana hilo ndio nalofahamu kuhusu wao.Ila sijui kwenye suala la kupendwa na mabinti.
naomba niambieni kuna siri gani ambayo mwanamme wa kingoni anatuzidi sisi. Maana kila kukicha wenzetu wanamwagiwa sifa na ni rahisi sana wao kukubabaliwa na akina dada. Jamani kuna siri gani na sisi tuige?