so unataka exprerience rite?ngoja nisake mngoni fasta zen will be back
afadhali. Nitaftie na mimi mmoja. Lol!
ok dear unataka nyani,mapunda au simba?
ok dear unataka nyani,mapunda au simba?
Hakuna mahusiano yoyote kati ya kabila na utundu kitandani,but nijuavyo mimi ni kuwa ukitaka kujua chochote duniani unaweza!
mimi na pearl tumejitolea kutafuta wangoni kwa ajili ya research. Tutawapa report.
Acha hiyo. Mnajitolea wakati mtapata raha!!!
Nyengo naamini kua swali lako unatat mtu ambae amewahi lala na mngoni,
ingawa personally sijawahi but hao nilokutana nao katika maisha yangu am
proud to say kuwa wanastahili pongezi... sio lazima awe mngoni... kwa mwanamke
anaependa apate mwanaume anaefaa kuna features unaangalia kwake as a
person but kabila sio moja wapo - ingawa ni kweli watu wa eneo fulani au
design fulani ni wataalam wa hayo mambo... uwe na amani ukute na wewe
ni mkaree ila tu hujabahatika kusikia mwenzi wako akikusifia... au kweli
ya wezekana other wise....
Asha, to be honest nimejikuta kuwa nimeipenda sana hiyo statement,
sijui kwa nini tu!
mimi huwa naulizwa we mngoni ni nini?
nawaambia sio,hawaamini
sielewagi why?
lol............lol............lol............
The Boss kweli wewe jeuri!