Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,844
- 3,131
Nikuletee za kinyume chake?Shida ilianzia hapa. Kwasasa dini zinawapoteza watuView attachment 2200490
Wewe una uhakika gani kama karne zilizopita hiyo imani ya mizimu haikuja na meli?Mlokole mwenye kufahamu asili yangu , kazi ya dini za Kizungu na Kiarabu ni kuharibu kabisa utamaduni wa mtu mweusi ili tuendelee kuwa watumwa wa utamaduni wao milele na milele
Elimu ya Kemet inajulukana, muombe imhotep na Imhotep Imhotep wakusaidie kukupa madiniWewe una uhakika gani kama karne zilizopita hiyo imani ya mizimu haikuja na meli?
Unajua babu yako wa kwanza Afrika aliabudu nini?
Ukitaka kuabudu mizimu rukhsa. Ni uhuru wako, utumie. Ila huwa mnakosea sana kudai mnafuata dini ya asili ya muafrika as if mnajua for sure.
Katika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Haya sawa. Ila ukweli unaujua moyoni mwako kwamba haujui dini hiyo unayoiita ya mwafrika ililetwa na nani.Elimu ya Kemet inajulukana, muombe imhotep na Imhotep Imhotep wakusaidie kukupa madini
Iliasisiwa na imhotepHaya sawa. Ila ukweli unaujua moyoni mwako kwamba haujui dini hiyo unayoiita ya mwafrika ililetwa na nani.
Iko hivi,Uisilamu unasema kila mtoto duniani yoyote huzaliwa akiwa Muisilamu,hukoma kuwa Muisilamu pale anapobaleheKatika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Watu wanasoma title tu na aya ya kwanza basi wanashuka kwenye commentUpo vzri umesha soma yote kwa mda mfupi iviii
Naomba link ya hilo group Nyamaume...Twende nikupeleke kwa Kissendi Nyanda NTALIMA MPANDAGOYA akuondoe kwenye ukondoo, ukaabudu mizimu ya watu wa kale
Kuna jamaa yangu alikulia katika Ukatoliki akaja akaukimbia na kwenda kwa hawa manabii na mitume wa kisasa hawa. Kapigwa matukio huko mpaka akauza kakiwanja kake na vibiashara vikafa akiwa amekazana kumtolea Nabii wake mpaka akili zimemkaa sawasawa amerudi kwenye Ukatoliki kimya kimya. Kumuuliza imekuwaje akasema hana hamu na manabii na mitume na sasa karudi kwenye dini yake ya kweliKatika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena
Dah we jamaa. Mbona kama tupo wote katika groups zile.....nipo 1 and 2.Twende nikupeleke kwa Kissendi Nyanda NTALIMA MPANDAGOYA akuondoe kwenye ukondoo, ukaabudu mizimu ya watu wa kale
Shida ilianzia hapa. Kwasasa dini zinawapoteza watuView attachment 2200490
Hujakosea ila ukweli ni kwamba dini zote hizi ni za kipuuzi, hazina maana yeyote kwetu waafrika. Mitume karibia ya wote si kwa Waislam, Wayahudi au Wakristu walikuwa wanaua kwa jina la dini na Mungu na wakati Mungu huyo huyo amekataza kuua. Utasikia sheikh anawahimiza vijana kuiga mifano ya Mohammed wakati Mohammed alikuwa mbakaji, muuwaji.Katika hali ya kawaida nimekuwa nikiwaza sana pia naona mambo mengi sana kila nikienda katika nyumba ya ibada kuna mambo mengi sana yanayo endelea ambayo hayapo ndani ya biblia au katika maqndiko tuna tumia mda mwingi kufqnya mambo ambayo kwa upande wangu naona hayana afya katika ulimwengu wa roho
Tuna tumia mda mdogo sana katika kufanya ibada nimejikuta pengine ningepewa uhuru wa kuchagua pengine nisinge chagua UKRISTO ...au ningepewa nafasi ningebqdilishq mambo mengi sana katika kanisa pengine ni ngeonekqna sifai
Wewe unaweza ukqenda kanisani kwa lengo la kuabudu kumbe mwenzako anakuchukulia kama fursa flani akutengenezee mazingira mwisho wasiku utambiwa toa pesa ukija kwenye mahubiri ndo usiseme nikutoa kutoa kutoa sina nia mbaya na kutoa lakini unaona kabisa unatoa kwa kutengenezewa mazingira
Najua kina wafia dini humu ndani watasemq nimekengeuka au kukufuru ....hapana kuna mambo ukiona hayapp sawa lazma useme
Narudia tena hata ningepewa options ya kubadili jina nahisi ningesha badili kitambo UKRISTO ni dini nzuri sema kuna watu wamesha fanya kama sehemu yakujipatia fesha naona na nduguzetu WAISLAMU nao wameanza kubadilika kwenye baadhi ya mambo eti wanasema wana mwamini HUSSEIN cjui ndo nani tena