maslows9111
Member
- Jul 19, 2017
- 23
- 6
Huu ndio unaitwa wivu.Anayeweza mziki ni nani sasa?
Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
Huu ndio unaitwa wivu.Anayeweza mziki ni nani sasa?
Sent from my Diamond Crypto using JamiiForums mobile app
Hakosoi kwa fact huyu mtuHujui hata kuandika, afu unataka kumkosoa Diamond!!!!!!!! Unaishi kwa shemeji yako, afu unajidai kumkosoa mtu aliyekuzidi kwa kila kitu
Akijibu nitag!Ndio vizuri kumpata mtu "hasiyejua kitu" ili umueleweshe,sitoenda kulala bila kujibu maswali yangu,jibu kwanza maswali yangu (na kama huwezi kujibu hoja usiwe unaanzisha mada za hovyo)
Well said broMtu kama huyu anayelala kwa shemeji, kwenye chumba kirefu hajui maana ya investment na soko la kimataifa la mziki linataka nini. Kwa taarifa yako kwa mwaka huu wizkid, davido, olamide, yemialade wametoa nyimbo zaidi ya tatu na leo hii wizkid katoa album. Tatizo vijana wengi mnapenda mafanikio, lkn hampendi kujifunza kwa waliofanikiwa na ndio maana hamfanikiwi mnaishia kujenga majungu, wivu na chuki za kijinga mpaka mungu anashindwa kuwabariki.
Anatakiwa kutolewa pole na rambirambi kabisa.
Pole mtoa mada
Huyu ana ugonjwa wa wivu, tumuombee.No! Miezi sita unasahaulika mzee Baba. Utakuta mwenzako keshakamatia usukani
Naseeb yuko chap na fast minded ndio maisha ya sasa yanataka hivyo, miezi 6 hujatoa nyimba watu wakukumbuke kwa lipi? Wakati kilichofanya watu wakutambue ni muziki? Wacha maneno weka muziki.Hpo ndio huwa ananishangaza sana Ally anaweza kaa mwaka akasurvive na kanyimbo kamoja tu ama asitoe kabsaaaaa na bdo akawa gumzo cjui kanajiamini nn kle kajamaa wasanii wengi huogopa kukaa kmya jpo miezi 6 tu mm binafsi ni shabiki yke ila ananikera sana jinsi alivyo slow slow hajali yaani hana wcwc connection alizowahi kutana nazo angezipata Nassib cjui leo hii tungemuokotea wp mda huu Nassib yko fast sana akishaona kwamba hii ni fursa!
Sent from my TECNO-C7 using JamiiForums mobile app
Matatizo yako binafsi hayo si ya jumuiya, kama wewe ni kipofu sio wote!basi wewe unafaa kupimwa akili, unapenda hadi ujinga
Akiwa nominated anashangilia...akikosa tuzo anasema sifanyi mziki kwa ajili ya tuzo!Inaumiza sana kuona mtu ana nyimbo tatu zinatamba kwa pamoja WAKATI MWINGINE ANAFANYA NYIMBO MOJA ZAIDI YA MARA TATU i mean aje remix
Post sent using JamiiForums mobile app
Akina nani hao?Pengine anatakiwa a-renew contract na wakubwa wa dunia!
Hahaa kunywa maji mengi brother dilute chuki ipo very concetratedmwachen king nyie nguruwe hangaiken na simba wenu mwenye saut ya kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Gm/dm³Hahaa kunywa maji mengi brother dilute chuki ipo very concetrated