Freelancer Wakala
JF-Expert Member
- Feb 6, 2016
- 1,193
- 823
Kamulize Yemi Alade anapenda nini karanga ou video ya Eneka wa Diamond?
Mameneja wako ndio wakulaumiwa. Dogo hana elimu. Zaidi ya kipaji. Sijawah ona mameneja karibu watatu. Upeo mdogo. Dogo hapumziki hata miezi sita katoa wimbo. Jamii inakuzoea na kukuchoka pia. Angalia wasanii wa nje. Hawatoi nyimbo hovyo. Nabado wanamafanikio. Sijui wanamziki wa bongo. Wanahitaj mameneja wenye vigezo gani... Wanachangia kuwapoteza wasanii
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Una uhakika na ulichokiandika?Angalia wasanii wa nje. Hawatoi nyimbo hovyo. Nabado wanamafanikio.
Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
Hpo ndio huwa ananishangaza sana Ally anaweza kaa mwaka akasurvive na kanyimbo kamoja tu ama asitoe kabsaaaaa na bdo akawa gumzo cjui kanajiamini nn kle kajamaa wasanii wengi huogopa kukaa kmya jpo miezi 6 tu mm binafsi ni shabiki yke ila ananikera sana jinsi alivyo slow slow hajali yaani hana wcwc connection alizowahi kutana nazo angezipata Nassib cjui leo hii tungemuokotea wp mda huu Nassib yko fast sana akishaona kwamba hii ni fursa!No! Miezi sita unasahaulika mzee Baba. Utakuta mwenzako keshakamatia usukani
Halaf mond video yake ya eneka kakopi video ya R2bees ft wizkid tonightDavido na Wizkid
diamond ameshaisha kimuziki aisee...mwambie akomalie hizo karanga zakePoa,lakini "natetea mshahara" kwa hoja,hebu mpe ushauri huyo jamaa kwamba hapa siendi kulala bila kujibu maswali yangu.
Biashar jmn ndo ivo bt diamond anauza karanga miatatu lkn bakresa juice yak nyngn ni mia mbili lkn halingn NA ww unaeandka uku mtandaoni cz NA kwa biashar Ya hela hiyo anaowafnykz anaowalipa million kwa juice Ya miatano tu tumien akilimr niceeeeeeeeeeeeeeeeee