Tongo Elamu
JF-Expert Member
- Apr 26, 2020
- 2,904
- 4,397
Enyi Makolo, nataka niwaambie mapema kabisaa kwamba kwa hawa wababe wa Angola, 1 August mnaenda kuchezea kichapo cha mbwa mwizi cha 6:0 na mkirudi kwa Mkapa ni 0:4!
Nafikiri nimeeleweka.
Nafikiri nimeeleweka.