Jestina
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 4,831
- 1,710
eti jamani nyumba standard ya vyumba vinne,sebule na jiko kuzungusha linta itanicosts shilingi ngapi???niko mbali na nahisi napigwa vibomu lol..
again,kutoka kwenye msingi hadi kwenye linta nyumba ya kawaida inakuwaga na matofali mangapi???sita au nane? lol
again,kutoka kwenye msingi hadi kwenye linta nyumba ya kawaida inakuwaga na matofali mangapi???sita au nane? lol