Ujenzi wa nyumba kama hii unaweza kugharimu kiasi gani?

thefarmer

Member
Jun 13, 2023
19
41
Habari wadau wa Jamii forums.Nilikuwa naomba kuuliza ujenzi wa nyumba ya vyumba viwili kimoja kikiwa juu kingine chini pamoja na jiko, sebule, dining na choo inaweza kugharimu shilingi ngapi mpaka nyumba kusimama bila finishing yoyote bila magrill wala frame za milango yaani jengo tu.

Nimeambatanisha picha kwa rufaa(reference) zaidi
IMG_2951.jpg
 
Inategemeana na urefu wako, ukijenga official kabisa kwa kufuata protocol inaweza fika 8-10M (mana utafuata protocol za ghorofa) ila kama itaamua kumtumia fundi maiko, halafu hicho chumba cha juu ukaweka sio kirefu sana bas hapo utakaa kwenye 5M hiv max

Nb. It is subject to changes kutokana ma maeneo
 
Inategemeana na urefu wako, ukijenga official kabisa kwa kufuata protocol inaweza fika 8-10M (mana utafuata protocol za ghorofa) ila kama itaamua kumtumia fundi maiko, halafu hicho chumba cha juu ukaweka sio kirefu sana bas hapo utakaa kwenye 5M hiv max

Nb. It is subject to changes kutokana ma maeneo
hiyo 5M itaishia kwenye hivo vioo na pengine isitoshe
 
Ewa nataka kama hii mzeya. Haka kanifaa....ila mzee kweli m7 zinatosha kwa kufyatua hii kitu
zinatosha mkuu apo bati inakuwa ina mwaga maji nyuma inawekewa gata, inakuwa chumba master , sebule na kitchen ndogo,kibaraza cha mbele .swala la fensi na decoration ya chini na maua hiyo gharama nyingine
 
Inategemeana na urefu wako, ukijenga official kabisa kwa kufuata protocol inaweza fika 8-10M (mana utafuata protocol za ghorofa) ila kama itaamua kumtumia fundi maiko, halafu hicho chumba cha juu ukaweka sio kirefu sana bas hapo utakaa kwenye 5M hiv max

Nb. It is subject to changes kutokana ma maeneo
Mimi mpango wangu ni kwamba imtolesheleze tu mtu wa futi sita kusimama bila kujibana mimi binafsi ni 5 ft 8
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom