Kuzuia msafara wa Rais ni uhaini!

Kuzuia msafara wa Rais ni uhaini!

Waziri kivuli

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
2,987
Reaction score
3,451
Hizi habari za kusema wananchi wamezuia msafara wa Rais kumuelezea shida zao nadhani ifike mahala sasa tuseme ukweli!!!
Hakuna anayezuia msafara wa Rais,kama ushaona speed ya gari za kwenye msafara,utakubaliana na mimi kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeweza kufanikiwa kuzuia msafara!

Turudi nyuma kabla ya kuzuia,unawaandaa watu kwenda kumpokea Rais halafu unasema wamezuia msafara!Mnafunga masoko na na kuwalazimisha walimu na watumishi wa serikali kwenda kujipanga barabarani halafu mnasema wamezuia msafara!!!!!

Hebu wananchi wajipange kimya kimya halafu wajue kuna msafara wa Rais,waende kuuzuia waone kitakachowakuta!

Hizi kiki ifike mahali media nazo ziache kutoa promo zisizo na kichwa wala miguu!

Kuna taarifa kuwa huko Tanga kesho soko litafungwa ili watu waende kwenye mkutano!Watumishi wataandikishwa hadi majina na ole wao wasioukuwepo!!!!
 
Hizi habari za kusema wananchi wamezuia msafara wa Rais kumuelezea shida zao nadhani ifike mahala sasa tuseme ukweli!!!
Hakuna anayezuia msafara wa Rais,kama ushaona speed ya gari za kwenye msafara,utakubaliana na mimi kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeweza kufanikiwa kuzuia msafara!

Turudi nyuma kabla ya kuzuia,unawaandaa watu kwenda kumpokea Rais halafu unasema wamezuia msafara!Mnafunga masoko na na kuwalazimisha walimu na watumishi wa serikali kwenda kujipanga barabarani halafu mnasema wamezuia msafara!!!!!

Hebu wananchi wajipange kimya kimya halafu wajue kuna msafara wa Rais,waende kuuzuia waone kitakachowakuta!

Hizi kiki ifike mahali media nazo ziache kutoa promo zisizo na kichwa wala miguu!

Kuna taarifa kuwa huko Tanga kesho soko litafungwa ili watu waende kwenye mkutano!Watumishi wataandikishwa hadi majina na ole wao wasioukuwepo!!!!
Acha kupiga mayowe.
 
Kusimamisha au kuzuia msafara wa rais ni propaganda. Kiukweli wangetupwa ndani wasahaulike na kichapo cha ukweli. At least waseme wananchi waliomba kuongea na rais. Au hata "rais asimamamisha msafara wake kusikiliza maoni ya wananchi" nk
 
Hili jambo itabidi wanahabari walitolee ufafanuzi, maana wao ndo huwa wanasema hivyo.
 
Labda wakipga mkono ule msafara unasimama......LABDA.
 
Tuache siasa za kitoto.
Hakuna mwananchi anayeweza kusimamisha msafara wa rais
Hivi mnasahau speed ya gari za msafara wa rais??

sent from Sokoro nkorambokande
 
Hizi habari za kusema wananchi wamezuia msafara wa Rais kumuelezea shida zao nadhani ifike mahala sasa tuseme ukweli!!!
Hakuna anayezuia msafara wa Rais,kama ushaona speed ya gari za kwenye msafara,utakubaliana na mimi kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeweza kufanikiwa kuzuia msafara!

Turudi nyuma kabla ya kuzuia,unawaandaa watu kwenda kumpokea Rais halafu unasema wamezuia msafara!Mnafunga masoko na na kuwalazimisha walimu na watumishi wa serikali kwenda kujipanga barabarani halafu mnasema wamezuia msafara!!!!!

Hebu wananchi wajipange kimya kimya halafu wajue kuna msafara wa Rais,waende kuuzuia waone kitakachowakuta!

Hizi kiki ifike mahali media nazo ziache kutoa promo zisizo na kichwa wala miguu!

Kuna taarifa kuwa huko Tanga kesho soko litafungwa ili watu waende kwenye mkutano!Watumishi wataandikishwa hadi majina na ole wao wasioukuwepo!!!!
Rais mpendwa, why force people? Kesho si jmosi hakuna kazi, hivyo hiyo ya wafanyakazi ni uongo!
 
Watanzania mizuka ikitupanda huwa atusikilizi la mnado solo, ila inaonekana ni mapenzi tu wananchi kwa rais wao, hata mimi nimewahi kukacha job kwa muda ili nione rais anapowasili, anyway kikubwa wananchi wanaposimamosha msafara kuwe kunakua na ulinzi wa kutosha kwa rais wetu.
 
Back
Top Bottom