Kuzuia msafara wa Rais ni uhaini!

Kuzuia msafara wa Rais ni uhaini!

Hizi habari za kusema wananchi wamezuia msafara wa Rais kumuelezea shida zao nadhani ifike mahala sasa tuseme ukweli!!!
Hakuna anayezuia msafara wa Rais,kama ushaona speed ya gari za kwenye msafara,utakubaliana na mimi kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeweza kufanikiwa kuzuia msafara!

Turudi nyuma kabla ya kuzuia,unawaandaa watu kwenda kumpokea Rais halafu unasema wamezuia msafara!Mnafunga masoko na na kuwalazimisha walimu na watumishi wa serikali kwenda kujipanga barabarani halafu mnasema wamezuia msafara!!!!!

Hebu wananchi wajipange kimya kimya halafu wajue kuna msafara wa Rais,waende kuuzuia waone kitakachowakuta!

Hizi kiki ifike mahali media nazo ziache kutoa promo zisizo na kichwa wala miguu!

Kuna taarifa kuwa huko Tanga kesho soko litafungwa ili watu waende kwenye mkutano!Watumishi wataandikishwa hadi majina na ole wao wasioukuwepo!!!!
Uko sawa kiongozi, kwa mfano hebu jaribu kuzuia msafara halafu kati yetu aonekane mmoja kavaa T-shirt ya ukuta. Kitakachotokea shetani atawaonea Huruma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo si hoja - rais anapendwa sana isipokuwa kwa kundi la nyumbu!!
 
Back
Top Bottom