kigogo warioba
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 6,048
- 9,405
Yaani nchi hii ni ya maajabu sana, miaka hii jitu linaamini kuwa wanachi ndio huwa wanasimamisha msafara wa rais, ni ujuha wa hali ya juu!
Unalazimisha, unafikiri utapata nini?Hili jibu pia linaonesha dawa imeingia!
naungo mkonyo hoja kwa sauti ya Mnyaa
Walimchagua, wanampenda.Huyu ni Rais wa JMT!Hebu jaribu mfanye kumsimamisha kimya kimya kama hamjalambwa shaba!
Kiki tu hizo!
Hata kukamata vichwa vya treni ambavyo mmiliki wake hajulikani ni kiki
Nenda na wew na wenzako,fuatilieni mjue atapitq barabara gani halafu akipita ingieni barabarani kuzuia gari yake!Walimchagua, wanampenda.
Pita kushoto tuUnalazimisha, unafikiri utapata nini?
Nenda kuzimu.Pita kushoto tu
lowasa na wapinzani wakifunguliwa magufuli atakufa kwa preshaHizi habari za kusema wananchi wamezuia msafara wa Rais kumuelezea shida zao nadhani ifike mahala sasa tuseme ukweli!!!
Hakuna anayezuia msafara wa Rais,kama ushaona speed ya gari za kwenye msafara,utakubaliana na mimi kuwa hakuna mwananchi wa kawaida anayeweza kufanikiwa kuzuia msafara!
Turudi nyuma kabla ya kuzuia,unawaandaa watu kwenda kumpokea Rais halafu unasema wamezuia msafara!Mnafunga masoko na na kuwalazimisha walimu na watumishi wa serikali kwenda kujipanga barabarani halafu mnasema wamezuia msafara!!!!!
Hebu wananchi wajipange kimya kimya halafu wajue kuna msafara wa Rais,waende kuuzuia waone kitakachowakuta!
Hizi kiki ifike mahali media nazo ziache kutoa promo zisizo na kichwa wala miguu!
Kuna taarifa kuwa huko Tanga kesho soko litafungwa ili watu waende kwenye mkutano!Watumishi wataandikishwa hadi majina na ole wao wasioukuwepo!!!!
Tangulia wewe!Nenda kuzimu.