30 May 2025
Dar es Salaam
View: https://m.youtube.com/watch?v=nUGKwZ44tlQ
Tech & Media Covergency na PIN wazungumzia kuhusu changamoto za TEHAMA barani Africa huku mtandao wa X ukiwa umezimwa, na nchi mwenyeji wa mkutano huo wa wadau wa Barani Africa unafanyika Tanzania jijini Dar es Salaam.
Wadau wanasema mamlaka za udhibiti kama TRCA mamlaka ya udhibiti mawasiliano Tanzania zingeweza kutumia njia nyingine badala ya kuzima kabisa mtandao wa X
Wadau hao wasema kuzima mtandao kuelekea uchaguzi mkuu ni njia yenye madhara makubwa, kwani kukosekana uhuru wa mawasiliano kunakimbiza wawekezaji kwa muda mrefu kwa miaka mingi. Hivyo mamlaka kama TCRA zingeweza kutumia njia mbadala badala ya kuzima kwani zoezi la uchaguzi mkuu ni la kuja na kufanyia kila baada ya miaka 5 lakini wawekezaji wanaweza kukimbia kwa miaka 10 kutokana na tishio la kukosekana mawasiliano na uhuru wa kufanya shughuli mbalimbali kwa kigezo cha mazingira kandamizi ya kisiasa.
Dar es Salaam
View: https://m.youtube.com/watch?v=nUGKwZ44tlQ
Tech & Media Covergency na PIN wazungumzia kuhusu changamoto za TEHAMA barani Africa huku mtandao wa X ukiwa umezimwa, na nchi mwenyeji wa mkutano huo wa wadau wa Barani Africa unafanyika Tanzania jijini Dar es Salaam.
Wadau wanasema mamlaka za udhibiti kama TRCA mamlaka ya udhibiti mawasiliano Tanzania zingeweza kutumia njia nyingine badala ya kuzima kabisa mtandao wa X
Wadau hao wasema kuzima mtandao kuelekea uchaguzi mkuu ni njia yenye madhara makubwa, kwani kukosekana uhuru wa mawasiliano kunakimbiza wawekezaji kwa muda mrefu kwa miaka mingi. Hivyo mamlaka kama TCRA zingeweza kutumia njia mbadala badala ya kuzima kwani zoezi la uchaguzi mkuu ni la kuja na kufanyia kila baada ya miaka 5 lakini wawekezaji wanaweza kukimbia kwa miaka 10 kutokana na tishio la kukosekana mawasiliano na uhuru wa kufanya shughuli mbalimbali kwa kigezo cha mazingira kandamizi ya kisiasa.