Kuzika marehemu kwenye makaburi ni sawa? Asili inasemaje?

Kuzika marehemu kwenye makaburi ni sawa? Asili inasemaje?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
2,224
Reaction score
2,095
Viumbe vyote hutoka kwenye mavumbi ya ardhi. It is a collection of substances that have been recycled over time. Nataka kuuliza kitu.

Kuwazika watu waliokufa kwenye makaburi yaliyojengwa kwa sementi kuna mchango gani kwa asili ambayo ndiyo sisi sote tumetoka huko?

Viumbe vyote ,wanyama na mimea vikifa vinatakiwa kurudi mavumbini ili viwe recycled na viumbe vingine vitengenezwe/viumbwe.

Kinachotufanya leo tuishi ni matokeo ya viumbe vilivyokuwepo zamani vikafa vikarudi mavumbini ndipo kwa particles hizo tukaumbwa.
 
Viumbe vyote hutoka kwenye mavumbi ya ardhi. It is a collection of substances that have been recycled over time. Nataka kuuliza kitu. Kuwazika watu waliokufa kwenye makaburi yaliyojengwa kwa sementi kuna mchango gani kwa asili ambayo ndiyo sisi sote tumetoka huko? Viumbe vyote ,wanyama na mimea vikifa vinatakiwa kurudi mavumbini ili viwe recycled na viumbe vingine vitengenezwe/viumbwe. Kinachotufanya leo tuishi ni matokeo ya viumbe vilivyokuwepo zamani vikafa vikarudi mavumbini ndipo kwa particles hizo tukaumbwa.
Yatabomoka tu baada ya miaka 1000 au 10000 ..... in planetary time miaka 10000 sawa na nusu siku ....ila human life ...time ya miaka 10000 ni alot ...so hayo yote baada ya miaka fulani yatabomoka tu
 
Yatabomoka tu baada ya miaka 1000 au 10000 ..... in planetary time miaka 10000 sawa na nusu siku ....ila human life ...time ya miaka 10000 ni alot ...so hayo yote baada ya miaka fulani yatabomoka tu
Asante. At least umeleta jibu la kufikiriwa. But my question still remains. What is is the point to burry our deads? We will all die at the end na tunataka vizazi viendelee. The substance we have in our bodies needs to be recycled ili watengenezwe binadamu wengine, wanyama na mimea. Sababu ya kuwafukia wafu kwenye makaburi ya sementi ni ipi?
 
Nakuuliza umetokana na mavumbi au mama yako alikuzaa?

Wewe ndio huelewi hata basic biology.

Hakuna biology inayosema binadamu alitokana na mavumbi.
Seriously?? Components zilizomtengeneza mama aliyenizaa zilitoka wapi? Nutrition aliyokuwa ananipa kupitia umbilical cord nikiwa tumboni mwake aliitoa wapi?
 
Nakuuliza umetokana na mavumbi au mama yako alikuzaa?

Wewe ndio huelewi hata basic biology.

Hakuna biology inayosema binadamu alitokana na mavumbi.
Kiimani ambavyo anaamini ni kuwa binadamu ni udongo na udongoni atarudi akimaanisha Mungu alimuumba binadamu kwa udongo,, HAPA NIISHIE HIVYO MAAKE UNA MASWALI MENGI YASIYO NA MAJIBU

Ila baiyojia inatuonesha na inathibitisha binadamu anaezaliwa baada ya muunganiko wa ke na me ambapo huchukua muda kutengeza kiumbe hiko from zygote to baby
 
Nahisi aidha ni urembo, tunahisi tukiwejenge sehemu nzuri ni kama kuonyesha upendo au kumjali mtu aliyezikwa
Au kuweka alama ya sehemu alipozikwa ndugu yenu
Nakuelewa. Lakini hili linaendeza vipi maisha kwenye hii sayari yetu? Hakuna maisha bila recycling. Huo upendo naelewa. It is a product of human mind. Kwa nini tusiwe na upendo kwa viumbe watakaokuja baada yetu? Wapo wetu waliwaza mbali wakaomba wakifa miili yao isizikwe itumuke katika tafiti za kisayansi. Great minds!
 
Nakuelewa. Lakini hili linaendeza vipi maisha kwenye hii sayari yetu? Hakuna maisha bila recycling. Huo upendo naelewa. It is a product of human mind. Kwa nini tusiwe na upendo kwa viumbe watakaokuja baada yetu? Wapo wetu waliwaza mbali wakaomba wakifa miili yao isizikwe itumuke katika tafiti za kisayansi. Great minds!
Recycling ya aina gani unayozungumzia maana kama ni energy, inafywoza na udogo na kutokea sehemu nyingine
 
Wajinga sana hawa watu. Kubishana nao kazi bure kabisa.
Ni kweli.
Wajinga sana hawa watu. Kubishana nao kazi bure kabisa.
Kaaazii kweli kweli. Yaani mtu haelewi kwamba mpaka huyo mama aliyemzaa alikula ugali, mchicha , maharage, wali, nyama na kdhalika ndipo hilo yai likajijenga mwilini mwake . Na huyo mwanaume amekula vitu hivyo hivyo ndipo mbegu ya uzazi ikajengwa mwilini mwake. Hivi walivyokula vyote vilitoka shambani/ardhini.
 
Asante. At least umeleta jibu la kufikiriwa. But my question still remains. What is is the point to burry our deads? We will all die at the end na tunataka vizazi viendelee. The substance we have in our bodies needs to be recycled ili watengenezwe binadamu wengine, wanyama na mimea. Sababu ya kuwafukia wafu kwenye makaburi ya sementi ni ipi?
Watu wanazika kama kumbukukumbu kwa kujenga vile pia ubinadamu tu ila trust kuoza utaoza tu na kupotea

Ubinadamu ndo unafanya tunazikana kwa heshima ila sio lazima

Mfano ili mtu apotee akizikwa kwenye kaburi na jeneza La mbao ni 100 years ukufukua hukutu kitu hapo wasiwekee mazege yale afukiwe tu na udongo

Akizi kavu kavu kama waislamu .miaka mitano mingi yatemegea na aina ya udongo hukuti kitu

Ukizikwa na kana mazenge yale pamoja na casket sio jeneza unaweza toboa hata miaka 1000 mifupa yako ipo tu


Sky burial ile wanakukakata afu wanakuweka juu mlima vulture(ndege wala mizoga) wanakula inafanyika huko mongolia sana sababu kuu ukimzika mtu kule haozi kuna baridi kali

Sea burial nayo ukizikikwa week week ijayo haupo samaki wanakula fasta

Kuna cremation nayo ni nzuri ila inahitaji utalaam na vifaaa

Then Kuna ya kutupa mwili wahadzabe na wa wamasai zamani mnacha mwili porini mnahama na mtaa mwili utajijua wenyew mostly fix wanakula
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom