Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,574
- 3,133
Just pride tu kuwa wazazi wangu walizaa mtoto basi na me nikiwa naye kama wazazi wangu. Ni kama repetitive pridd tu.
Every species does everything it does to stay alive. Every species does everything possible to pass on their genesMwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Just pride tu kuwa wazazi wangu walizaa mtoto basi na me nikiwa naye kama wazazi wangu. Ni kama repetitive pridd tu.
Every species does everything it does to stay alive. Every species does everything possible to pass on their genes
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuzaliwa na kufaMm naamin, kutozaliwa ni faida, ya nn kuzaliwa na kufa?
Yes, unazaliwa na utakufa, why uzaliweKuzaliwa na kufa
Umejibu kwa mhemuko, swali ni kiumbe yyoyote yule anapata faida gani akizaa mtoto. Achana na kujikita kwa binadamu tu.
Yaani kwa mfano, ule mwembe unazaa maembe ambayo ndani yana mbegu ambazo zikiota zinakuwa mwembe mwingine. Sasa ule mwembe uliozaa maembe unapata faida gani endapo lile tunda la embe litaota na kuwa mwembe?
Mnyoo jnapata faida gani ukizaa kimnyoo kingine kidogo?
Mjusi anapata faida gani akizaa kamjusi kengine kadogo? Nk
Yaan ukijiuliza hilo swali hupati jibu..Yes, unazaliwa na utakufa, why uzaliwe
Swali la msingi zaidi linaweza kuwa binadamu tuliopo tutapata hasara gani tukiamua kutozaliana na kuhitimisha uwepo wa binadamu duniani ?Kuna faida gani binadamu wakiwepo duniani?
Hilo ndilo swali la msingi.
Kwani binadamu tukitoweka duniani hasara yake ni nini?Tunazaana kwasababu tunakufa.Aliyeumba viumbe hai vinavyokufa aliweka uzao ndani ya hivyo viumbe.Kwahiyo kufa ndiko kunakoongoza uzao ulioko ndani ya viumbe hai.Kwahiyo viumbe wanaokufa wanapambana wasitoweke kwenye uso wa dunia kwakuakikisha wanazaana.Ni vita kati ya kifo na uzazi.Na hilo ni jambo la asili ambalo binadamu pamoja nakujaribu kuliingilia bado hataweza kulikomesha kwasababu akikomesha kuzaa maana yake kifo kitakua kimeshinda na matokeo yake binadamu atatoweka duniani.Kama kungekua hakuna kufa pia kungekua hakuna kuzaana.Tungeumbwa wengi alafu tukaishi tu.ila waliumbwa wachache wakawekewa kifo na uzazi ili iwe ni vita kati ya kuwepo au kupotea.Kwahiyo kuzaa kuna maana kubwa sana kiuzao kuliko faida ya binadamu mmoja mmoja.
Na mjusi akizaa mtoto anapata faida gani?Mtoto ni assests hebu waza wazazi wa leonel messi, wa Diamond Platnumz,
Mtoto ni uwekezaji wa uzeeni kama pension yaani
Viongozi wa Kanisa katoliki Wana majibu sahihi na biashara hii waliikimbia kuanzia masister,mabrother , mapadre,Maaskofu hadi papa.Mwili wa binadamu na viumbe wengine wote unahangaika sana na mambo mawili. Kusurvive na kuzaliana. Sasa najiuliza kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa. Kuendeleza kizazi cha ng'ombe, kunamsaidia nini ng'ombe anayezaa. Binadamu walioishi miaka ya BC huko, wanafaidika vipi na kuendeleza uzao wa binadamu? Kungekuwa hamna kufa ningeweza kidogo kuelewa.
Zaidi naona uzazi unamnyonya mzazi kiafya, kichumi nk. Kuzaliana kunamsaidia nini anayezaa?
Daah kila mmoja anafikiria kivyake aseeViongozi wa Kanisa katoliki Wana majibu sahihi na biashara hii waliikimbia kuanzia masister,mabrother , mapadre,Maaskofu hadi papa.
Hii biashara hazilipi mkuu
Faidaaaa uliyopataaa ni kupunguzaa nyegeee.. Mpaka junior atakapokuja kutoboa kimaishaaaa ule mema ya nchii.Hakuna faida yoyote anaipata:-
-Mende kumzaa mende
-Funza kumzaa funza
-Simba kumzaa simba
-Mwanadamu kumzaa mwanadamu
Tunatekeleza maagizo ya aliyetufanya tuwe viumbe hai, yeye ndiye anayejua faida zake.
Unapotekeleza agizo linaweza lisiwe na manufaa ya moja kwa moja kwako.
Hakuna hasaraaaaKwani binadamu tukitoweka duniani hasara yake ni nini?