Kuweni makini, utapeli mpya umeibuka Dar

Kuweni makini, utapeli mpya umeibuka Dar

Mkuu siyo jambo la busara kuileta hii taarifa hapa publick!nafikiri ulitakiwa kufanyia kazi hilo jambo na kupata ufumbuzi,matapeli wamejaa kila kona lakini haituzuii kufanya au kufatilia kwa kutumia uwezo wetu tulio nao na msaada wa watu walio karibu na sisi,tusikurupuke kwa mambo kama haya,kutulia ni jambo la muhimu sana bana,ningekuwa wewe ningelifanyia kazi kama nashindwa ningetafuta watu walio karibu na mimi wanisaidie,tujifunze kutulia,kumbuka kila siku hapa wakenya wanasema sisi bado sana,ni kwenye mambo kama hayo!!maybe wewe sio mfanya biashara!
 
Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani. wanadai wakati wapo ujerumani waliongea na mjerumani mmoja ambaye ni mtaalam wa madawa ya kusafisha maji. wakadai zaidi kuwa waliongea na huyo mjerumani kuwa, mara watakapomaliza maliza kozi hiyo mjerumani huyo aliwaahidi kuwa angeweza kusupply hayo madawa ya kusafisha maji kwa bei ya dola 4900 kwa ujazo walinitajia nimesahau.wakaniambia kuwa madawa hayohayo yanaweza patikana katika kiwanda kimoja hapahapa tz kwa dola 4100. hivyo wameniambia nifikirie kama nina uwezo wa kusupply hayo madawa na baadae niwasiliane nao. naomba ushauri wandugu nisije kupiga penalti ikageuka kuwa kona.

Stuka matapeli hao
 
Hii nambari ya kwanza inaenda kwa jina la SALAMA MOTTO na hii ya pili ni SELEMAN MZINGE.

Kazi kwako Kamanda!
 
tatizo la nchi yetu utapeli kama huu unajulikana wazi na hata vyombo vya dola vinaujua. cha kushangaza hata wao wanaona haviwahusu...mpaka alizwe kigogo mmoja ndo dola itasimama kusimamia 'haki'!
 
Nimeanza kufatilia nyendo zao,muda si mlefu tutawatia mbaroni.
 
Wasanii hao waliwahi hata mimi kunipigia simu wanadai kuwa wanatafuta mtu wa ku-supply za kuhifadhia nafaka kwamba huyo bosi wao ameingia mkataba na Shirika la Mpango wa Chakula Duniani na amepewa hiyo tenda ya ingawa kwa sasa mzigo walioagiza haujafika nchini hivyo wanataka mtu mwenye uwezo kifedha wamuunganishie hiyo deal at least for the time being a-supply wakati wao wakisubiri mzigo wao ili kuepuka kupoteza trust yao..
 
Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani. wanadai wakati wapo ujerumani waliongea na mjerumani mmoja ambaye ni mtaalam wa madawa ya kusafisha maji. wakadai zaidi kuwa waliongea na huyo mjerumani kuwa, mara watakapomaliza maliza kozi hiyo mjerumani huyo aliwaahidi kuwa angeweza kusupply hayo madawa ya kusafisha maji kwa bei ya dola 4900 kwa ujazo walinitajia nimesahau.wakaniambia kuwa madawa hayohayo yanaweza patikana katika kiwanda kimoja hapahapa tz kwa dola 4100. hivyo wameniambia nifikirie kama nina uwezo wa kusupply hayo madawa na baadae niwasiliane nao. naomba ushauri wandugu nisije kupiga penalti ikageuka kuwa kona.
Matapeli wakubwa hao,wanakudanganya uyanunue hayo madawa kisha utakosa pakuyapeleka and by the end of the day wanakula kona kumbe utakua umeyanunua kwenye maduka yao kwa bei kubwa x2 ya real price,so take care mkuu!
 
Lakini mkuu, kama ni issue ya kufanya business kuna utaratibu na naamini wewe ni mtu unayejua taratibu za biashara, make a legal contract before doing anything.
 
Mkuu mimi si mfanya biashara ni mwajiriwa serikalini.


Lakini mkuu, kama ni issue ya kufanya business kuna utaratibu na naamini wewe ni mtu unayejua taratibu za biashara, make a legal contract before doing anything.
 
daaaah... aiseee wakubwa mmenistua sana na habari ya hawa watu... ni hivi majuzi tu nikiwa tanzania waltaka kunitapeli ni rafiki yangu ambaye nilimwomba ushauri ndo akanistua.. bwana hao ni matapeli achana nao. jamaa wanajifanya wako zaidi ya mmoja wakikupigia simu wakijifanya wako sehemu tofauti. mi ilikuwa ni jamaa anajifanya ni mtumishi wa unhcr kigoma na kwamba kuna tenda ya kusaplly madawa ya kuhifadhia chakula kutoka isaka kahama. wanasema kuna jamaa pale isaka ni mtumishi wa wfp anayauza kutokea hapo ofisini kwabei nzuri hivyo mimi nionane nae ili ninunue niwauzie hao wenye tenda. na mi nakula cha juu. ngoja nicheki namba zao ntazibandika hapa .
 
Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani. wanadai wakati wapo ujerumani waliongea na mjerumani mmoja ambaye ni mtaalam wa madawa ya kusafisha maji. wakadai zaidi kuwa waliongea na huyo mjerumani kuwa, mara watakapomaliza maliza kozi hiyo mjerumani huyo aliwaahidi kuwa angeweza kusupply hayo madawa ya kusafisha maji kwa bei ya dola 4900 kwa ujazo walinitajia nimesahau.wakaniambia kuwa madawa hayohayo yanaweza patikana katika kiwanda kimoja hapahapa tz kwa dola 4100. hivyo wameniambia nifikirie kama nina uwezo wa kusupply hayo madawa na baadae niwasiliane nao. naomba ushauri wandugu nisije kupiga penalti ikageuka kuwa kona.

Itakuwa OFF SIDE!
 
Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani. wanadai wakati wapo ujerumani waliongea na mjerumani mmoja ambaye ni mtaalam wa madawa ya kusafisha maji. wakadai zaidi kuwa waliongea na huyo mjerumani kuwa, mara watakapomaliza maliza kozi hiyo mjerumani huyo aliwaahidi kuwa angeweza kusupply hayo madawa ya kusafisha maji kwa bei ya dola 4900 kwa ujazo walinitajia nimesahau.wakaniambia kuwa madawa hayohayo yanaweza patikana katika kiwanda kimoja hapahapa tz kwa dola 4100. hivyo wameniambia nifikirie kama nina uwezo wa kusupply hayo madawa na baadae niwasiliane nao. naomba ushauri wandugu nisije kupiga penalti ikageuka kuwa kona.
Matapeli hao .
 
"Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani".

Nyekundu:- Ingia PPRA website angalia kama zabuni hiyo ilitangazwa. Sheria ya manunuzi ya umma ni LAZIMA utangaze zabuni kupitia web yao na ni moja ya kigezo muhimu kwenye assessment inayofanywa kwenye procuring entities zote. Take care! Bluu:- Uchimbaji mabwawa ni fani gani hasa? Pitia profile zao kwa umakini. Aidha ushauri uliupata hapo juu, hapana shaka you are near kuibiwa! Amka sasa.
 
Mkuu siyo jambo la busara kuileta hii taarifa hapa publick!nafikiri ulitakiwa kufanyia kazi hilo jambo na kupata ufumbuzi,matapeli wamejaa kila kona lakini haituzuii kufanya au kufatilia kwa kutumia uwezo wetu tulio nao na msaada wa watu walio karibu na sisi,tusikurupuke kwa mambo kama haya,kutulia ni jambo la muhimu sana bana,ningekuwa wewe ningelifanyia kazi kama nashindwa ningetafuta watu walio karibu na mimi wanisaidie,tujifunze kutulia,kumbuka kila siku hapa wakenya wanasema sisi bado sana,ni kwenye mambo kama hayo!!maybe wewe sio mfanya biashara!

Una maana gani mkuu? Hao ni WEZI!
 
Usithubutu!!!!!!!!!Niliishatapeliwa na hao watu mwezi uliopita wamenitapeli pesa zangu nyingi. Wanashirikiana na wazungu koko watatu. Nimejaribu kwenda polisi mpaka sasa sijafanikiwa kuwakamata.
 
Hawa jamaa wamejitambulisha kuwa wana kampuni ya uchimbaji mabwawa na wamepata tenda ya kuchimba mabwawa kwa ajili ya maji ya kunywa wanyama katika mbuga zetu hapa tanzania.wanadai ujuzi wa uchimbaji mabwawa waliusomea ujerumani. wanadai wakati wapo ujerumani waliongea na mjerumani mmoja ambaye ni mtaalam wa madawa ya kusafisha maji. wakadai zaidi kuwa waliongea na huyo mjerumani kuwa, mara watakapomaliza maliza kozi hiyo mjerumani huyo aliwaahidi kuwa angeweza kusupply hayo madawa ya kusafisha maji kwa bei ya dola 4900 kwa ujazo walinitajia nimesahau.wakaniambia kuwa madawa hayohayo yanaweza patikana katika kiwanda kimoja hapahapa tz kwa dola 4100. hivyo wameniambia nifikirie kama nina uwezo wa kusupply hayo madawa na baadae niwasiliane nao. naomba ushauri wandugu nisije kupiga penalti ikageuka kuwa kona.


Mimi nashindwa kuelewa hivi hawa Usalama wa Taifa kazi Yao ninini?
Hawa jamaa ni matapeli na Kila siku wanabadilisha style!
 
Back
Top Bottom