Tetesi: Kuweni makini na VAR toka Israel, Musiba anajua kibanda cha VAR kipo wapi

Unajifariji kiongozi.
Umesahau kama nchi ile iliingia mkataba na Israel wa ushirikiano mambo ya usalama na taarifa za intelijensia.

Hiyo whatsap inafanya end-to-encryption na hiyo inasaidia ku-secure message wakati inasafirishwa. Inapoingia tu ktk kifaa chako inakuwa deciphered(decoded) kuwa plain text au kuwa normal un-encrypted voice or video message, ndio maana wewe unaweza kusoma text au kusikia voice au kuona video halisi.

Kwahivyo yeyote ambaye anaweza kudukua kifaa chako ataweza kupata access ya hizo apps au tuite services kama vile wewe unavyo zipata zikiwa decoded.

Je inawezekana kudukuliwa kifaa chako na wenye nyenzo au miundombinu sahihi?

Jibu ndiyo.
Mfano: Jiulize mamlaka fulani ile inajuaje simu flani imekuwa hacked au cracked na kubadilishwa IMEI?

Mamlaka au mitambo ya mitandao ya simu inajuaje ume crack modem kiasi kwamba ukiitumia tu hiyo modem muda mfupi inakukatia mawasiliano?

Je mara ngapi umepokea configuration message za internent kwenye device yako na ukakubali ku-install?
Unajuaje kama ktk hizo message wali emmbed spyware kama vile mfano wa PEGASUS?

Hiyo ni mifano ya michache na haimaanishi nipo sahihi au imetokea hivyo.

Hiyo PEGASUS imenunuliwa sana na nchi kadhaa khasa za huku kwetu.
 
Kwenye audio kadhaa sauti ya Nape inasikika zaidi kuliko wenzake, means kuna wasiwasi yeye ndo aliekua akirekodi.

Sifahamu ni kwanini Nape ameshindwa kumshauri rafiki yake January Makamba na wazee Makamba na Kinana kuhusu hili suala zima la waraka.

Mzee Pius Msekwa yeye karuka mita 100 ametulia anatazama.
 
Nawasihi tu wadau wapambanaji wa kisiasa na wakereketwa au mashabiki wa mambo ya siasa.

Hii VAR ya kudaka faulo zote za mitandaoni, na kwenye vifaaa vya mawasiliano inafanya kazi kwelikweli.

Muulize Ndugu 'Mwezi wa Kwanza' na genge lake.

Hii VAR ni kiboko, inadaka hadi habari zetu za kifamilia.

Kuna tabia ya wadau humu kupuuzia na kudhania jina la kutunga mitandaoni, au kuweka nywira(password) kwenye kifaa chako au kwenye blogu au app yako unakuwa salama.

Hakuna Telegram wala Whatsapp hali si salama kwakweli.

Mnafikiri akina 'Njanuari' walikuwa wazembe kiasi hicho walitumia vifaa ambavyo havikuwa 'secured'?

Kama kweli wana akili ya kufunga lile goli la mkono kupitia teknolojia hivi kweli ni wajinga kufanya mawasiliano kizembe kwa hizi simu za kawaida ktk plain message?

Unafikiri kanali mstaafu kamanda wa tusker hakutumia mbinu za kijeshi kukwepa kunaswa mawasiliano yake?

Watukanaji wa humu JF wapo huru sio sababu hawajulikani ila wameonekana hawana madhara hivyo.

Siku wakivuka mstari mwekundu ndio wanajua ukweli na inakuwa wameshachelewa.

Jumapili njema!

Edward Snowden anawasalimia sana toka Russia anasema:

BEWARE OF THE CYBER 'VAR'!
Domestic surveillance is real, and the sh*t is happening now ktk nchi ya kusadikika.

***Watu wa soka wanajua VAR ndio nini.***
 
Wabishi mtanielewa tu nilikuwa naandika nini someni hiyo habari chi :-
WhatsApp yalishitaki Shirika la Israel kwa kufanya udukuzi wa mawasiliano ya Wanahabari na Watetezi wa Haki za Binadamu
WhatsApp wanasema kuwa NSO Group walitumia teknolojia yao kufanya udukuzi kwenye mawasiliano ya WhatsApp ya Wanahabari na Watetezi wa Haki za Binadamu.

WhatsApp inayomilikiwa na Facebook imelalamika kuwa udukuzi huo umefanywa kwa watu zaidi ya 1,400 walioko katika mataifa 20.

Katika shauri hilo, WhatsApp wanasema watu waliolengwa zaidi ni kutoka nchi za Mexico, Bahrain na Muungano wa Nchi za Falme za Kiarabu.

Aidha, wahanga wengine ni pamoja na Wanahabari Wanawake 100, Viongozi Wanawake na watu ambao walishindwa kuuawa katika majaribio kadhaa


======

SAN FRANCISCO — WhatsApp sued the Israeli cyber surveillance firm NSO Group in federal court on Tuesday, claiming the company’s spy technology was used on the popular messaging service in a wide-ranging campaign targeting journalists and human-rights activists.

WhatsApp, which is owned by Facebook, claimed in the lawsuit that an NSO Group program that was intended to piggyback on WhatsApp was used to spy on more than 1,400 people in 20 countries.

The lawsuit did not say who was using NSO Group technology to target WhatsApp users. But the area codes for a number of phones that had been attacked indicated a focus on people in Mexico, Bahrain and the United Arab Emirates.

The filing of the lawsuit, believed to be the first by a tech company against a for-profit digital surveillance company, could be the “beginning of the end” of the rapid and largely unregulated adoption of these surveillance technologies, said John Scott-Railton, a senior researcher at Citizen Lab.

WhatsApp worked closely with Citizen Lab, a research group affiliated with the University of Toronto that aids victims of digital surveillance, in its investigation of the attacks, which took place from April to May.
The messaging service said the victims included 100 journalists, prominent female leaders, several people who had been targeted with unsuccessful assassination attempts, political dissidents and human rights activists — as well as their families.

The suit was filed in the United States District Court in the Northern District of California. NSO Group, which sells its surveillance technology to governments all over the world, said in a statement Tuesday that it disputed the claims in the WhatsApp lawsuit in the “strongest possible terms” and “will vigorously fight them.”
NSO Group added that its technology was used by intelligence and law enforcement agencies in lawful antiterrorism efforts and crime-fighting, and it “has helped to save thousands of lives over recent years.”

The investigation started after Citizen Lab charged that NSO Group’s technology had been used to exploit a WhatsApp security hole to hack the phone of a London lawyer. The hole was patched in May.

The lawyer had represented several plaintiffs in lawsuits that accused NSO Group of providing tools to hack the phones of a Saudi Arabian dissident living in Canada, a Qatari citizen and a group of Mexican journalists and activists. He contacted Citizen Lab.

The researchers said they discovered that NSO technology left digital crumbs that helped them uncover the spy campaign. The weakness: Whoever was using the NSO Group hacking tools had to place a WhatsApp call to their target. Even if the target did not pick up the phone, NSO’s technology would become embedded in the phone and provide access to all of its contents.

The missed calls, however, tipped off the lawyer, he told The New York Times.

After WhatsApp patched the security hole, NSO employees lamented that the company closed off a major espionage channel. An NSO employee even told a WhatsApp employee in a message: “You just closed our biggest remote for cellular,” according to the WhatsApp complaint.

Citizen Lab and WhatsApp would not name the individuals targeted, citing privacy policies.
WhatsApp said in a statement that it was informing affected customers with special WhatsApp messages. The company is seeking a permanent injunction to block NSO from its service, and called on lawmakers to ban the use of cyberweapons like those sold by NSO Group to governments.

“This should serve as a wake-up call for technology companies, governments and all internet users,” Will Cathcart, the head of WhatsApp, wrote in an opinion article in The Washington Post on Tuesday. “Tools that enable surveillance into our private lives are being abused and the proliferation of this technology into the hands of irresponsible companies and governments puts us all at risk.”

Mr. Cathcart also urged technology firms to join a call from the United Nations special rapporteur, David Kaye, for an immediate moratorium on the sale, transfer and use of dangerous spyware.

NSO Group is one of dozens of digital spy outfits that provide technology to track everything a target does on a smartphone. Its spyware allows governments to track the location, communications, contacts and web activities of targets. But such access can be easily abused.

NSO Group has said in the past that it limits the sale of hacking tools to governments with poor human-rights records, but it has little insight into how its tools are used once they are in government hands. The company has said it only learns and investigates cases of abuse when they surface in the media.
NSO Group’s technology has repeatedly been discovered on the phones of civilians.

In 2017, The Times helped uncover the use of NSO spyware on journalists, dissidents and consumer rights activists in Mexico. Since then, the spyware has been uncovered on the phone of the wife of a murdered Mexican journalist and, last year, on the phone of a close confidant of Jamal Khashoggi, a journalist whose murder was linked by United States intelligence services to the Saudi Arabian government.

The WhatsApp complaint that was filed on Tuesday claims that NSO Group is closer to the deployment of its spyware than it portrays to the public. WhatsApp traced several servers that deployed NSO’s spyware back to internet addresses operated directly by NSO Group. The company leased servers — including servers in the United States — from Amazon and two other cloud services called Choopa and Quadranet, to help deploy its spyware, the lawsuit said.

Amazon did not return a request for comment.

Since NSO Group was founded in 2011, its spy technology, called Pegasus, has become the preferred mobile spy tool of many governments. An early NSO commercial proposal leaked to The Times claimed Pegasus could overcome encryption to grant “unlimited access” to everything on a target’s mobile device.
“Pegasus silently deploys invisible software on the target device,” the company’s early pitch read. “Installation is performed remotely over-the-air, does not require any action from or engagement with the target and leaves no trace whatsoever on the device.”

For years, commercial spyware makers have been unregulated, in part because governments are the clients.
“They get close to governments and when those governments do bad things with their products, commercial spyware companies can claim it’s not their fault,” said Mr. Scott-Railton, of Citizen Lab.

Earlier this year, Novalpina Capital, a private equity firm, acquired a stake in NSO Group. The firm has been trying to help NSO Group polish its image, highlighting the use of its technology in notable crime fighting, like the arrest of Joaquín Guzmán, the drug cartel leader known as El Chapo.

Stephen Peel, Novalpina Capital’s founding partner, said in a letter to human rights groups that the company was determined to make sure its technology was used for “the prevention of harm to fundamental human rights arising from terrorism and serious crime,” and not abused.

But Citizen Lab said in a statement that it had repeatedly raised questions to Novalpina about whether its public statements about human rights compliance made any difference, given how frequently NSO’s spyware had been abused.
 
Na uvumbuzi mkubwa wa karne uliofanywa na Google ule wa computer yenye nguvu sana (Quantum Computing Supremacy)
ndio unakuja kurahisisha kazi ya kudukua.

Kutakuwa hakuna encryption ambayo itaishinda computer maalum kama hiyo.

Fikiria Google Quantum Computing Processor inaweza kufanya kazi kubwa sana kwa sekunde 200 tu kazi ambayo hadi sasa hufanywa kwa miaka 10,000 au zaidi na Super computer inayo ongoza kwa computing power kwa miaka mingi iliyotengenezwa na IBM.
Hello quantum world! Google publishes landmark quantum supremacy claim
 
Kama watakua wanamdukua Sky eclat, deceiver, Faizafoxy, titicomb, zito kabwe, mwamba, mshanajr. N.k watakua hawakitendei haki hicho kifaa.
Kuna wakuu wengine mnadhani kutaja jina Bar shit, korodanimije ni upinzani
 
Boss apo swali langu ni kwamba
Kama wanasubiri sms au voice note ifike ndo waidukue je, wanaweza kufuatilia online voice call or video call?
Nawasilisha..
Unajifariji kiongozi.
Umesahau kama nchi ile iliingia mkataba na Israel wa ushirikiano mambo ya usalama na taarifa za intelijensia.

Hiyo whatsap inafanya end-to-encryption na hiyo inasaidia ku-secure message wakati inasafirishwa. Inapoingia tu ktk kifaa chako inakuwa deciphered(decoded) kuwa plain text au kuwa normal un-encrypted voice or video message, ndio maana wewe unaweza kusoma text au kusikia voice au kuona video halisi.

Kwahivyo yeyote ambaye anaweza kudukua kifaa chako ataweza kupata access ya hizo apps au tuite services kama vile wewe unavyo zipata zikiwa decoded.

Je inawezekana kudukuliwa kifaa chako na wenye nyenzo au miundombinu sahihi?

Jibu ndiyo.
Mfano: Jiulize mamlaka fulani ile inajuaje simu flani imekuwa hacked au cracked na kubadilishwa IMEI?

Mamlaka au mitambo ya mitandao ya simu inajuaje ume crack modem kiasi kwamba ukiitumia tu hiyo modem muda mfupi inakukatia mawasiliano?

Je mara ngapi umepokea configuration message za internent kwenye device yako na ukakubali ku-install?
Unajuaje kama ktk hizo message wali emmbed spyware kama vile mfano wa PEGASUS?

Hiyo ni mifano ya michache na haimaanishi nipo sahihi au imetokea hivyo.
 
Boss apo swali langu ni kwamba
Kama wanasubiri sms au voice note ifike ndo waidukue je, wanaweza kufuatilia online voice call or video call?
Nawasilisha..
Haisubiriwi kitu, kikishadukuliwa kifaa chako wanaona na kusikia kila kitu.
Kibaya zaidi kifaa chako kinatumika kusambaza kirusi wa kudukua watu wote unaofanya nao mawasiliano au walio ktk contacts za kwenye device.

Kinachofanyika wanadukua na kukiteka kifaa chako, wanakuwa kama wamekishika wao kama vile unavyokuwa unakitumia wewe.

Kila kitu kiwe online au offline(wanaweka software ya kurekodi vitu, ukiwasha tu internet boom!wanapitia mzigo uliokusanywa offline), kiwe live stream au vyovyote vile.
Kifupi wanaweza hata kumpigia video call mpenzi wako wakapachika sura yako kisha mwenzio akajiachia kwavile anaonadhani anakuona wewe live.

Hizi enzi za 3D printing wanaweza kutengeza sura yako ya bandia ya plastiki akaivaa mtu na sauti yako ikagushiwa.
Kumbuka unazungumzia unafuatiliwa na watu/taasisi wenye/zenye rasilimali(resources) za kutosha iwe fedha, teknolojia na watu.
 
Whatsapp na Telegram ni salama vinginevyo mengi yangejulikana
Wanaodukuwa mawasiliano ya Whatsup na Telegram hawaidukui program yenyewe per se! Wanaingilia simu yako na kuiteka wanakuwa na access nayo kama wewe mwenye simu. Hapo sasa ndiyo wanakuwa na access na hizo program kama wewe unavyoweza kuzitumia. Haya yote yanafanyika bila wewe kujua.
 
Boss apo swali langu ni kwamba
Kama wanasubiri sms au voice note ifike ndo waidukue je, wanaweza kufuatilia online voice call or video call?
Nawasilisha..
Wanaweza kuwasha camera yako bila kujua wakakupiga selfie au kupiga picha ndani mwako n.k.
Unamkumbuka mchungaji/askofu flani maarufu toka Koromije na sex tape yake?

Inawezekana ilikuwa ya kweli na lipigwa picha bila kujua toka kwa webcamera ya laptop yake au alipigwa kwa simu yake ikiwa ktk charging stand.
 
Msiwape credit kubwa, hawa jamaa ni expensive na jiwe hana pesa za kuwalipa huchunguza watu indeep. Ninachokihisi mie ni wanachama wa ccm wana app yao ya chama na km umejiunga basi wamepenyeza malware wao kukuchunguza, bila ya hivyo usitishike bado tunaishi kwenye third world country.
Mkuu unachekesha kiasi flani.
Serikali ijenge flyover, madaraja kama ya Kigamboni, Ifakara, inunue ndege zote, RADAR za kisasa, mifumo ya BVR kisha ishindwe kununua hii huduma au software?
Hiyo nchi itakuwa ni mtaa tu sio nchi kamili.
 
Nawakumbusha wazayuni walitupa vifaa vya mawasiliano cjui vko kwa bashite au vilirudi Tc mcfkir mko huru kiasi hicho
 
Ushahidi au taarifa yoyote iliyo patikana kwa njia haramu haiwezi ku mfunga mtu popote pale duniani!!

Na haiwezi tumika kama ushahidi mahakamani.

Kila mtu ana uwezo wa kuwashitaki Airtel/Vodacom/Whatsapp/Facebook/ Jamii Forums, nk kwa kuto linda faragha au siri zake.

Binafsi naomba hizo Clip au SMS wadau.
Kurekodiwa kwa siri na chombo kilicho ruhusiwa kisheria ni kosa?
Au ushahidi wake ni haramu?

Kwanini telephone tapping/wire tapping, often by covert means inafanyika duniani kote hata huko marekani na taasisi kama NSA, FBI na CIA wanatumia hii njia na wanakamata watu kwa ushahidi huu na wanafungwa watu?
 
Nawakumbusha wazayuni walitupa vifaa vya mawasiliano cjui vko kwa bashite au vilirudi Tc mcfkir mko huru kiasi hicho
Wazayuni, pamoja na mkurugenzi wa Idara nyeti, na mkuu wa wakakamavu walitia saini ya ushirikiano ikiwemo kuuziana mitambo, ilikuwa pale makao makuu ya wakakamavu Upanga.

Haikuwa siri iliandikwa na kutangazwa na vyombo vya habari kibao sema watu wasahaulifu tu.
 
telegram iko safe sana.....sema tu watu wengi hawapendi kuwasiliana kule ni kama haijazoeleka sana kama whatsapp...mm naipendea secret chat yao nikiwa nahitaji kujadili kitu sensitive nisichopenda kiache alama...basi nafungua hiyo...namuinvite opponent kisha naset self destructive timer hata ya sekunde 5 yan text ikishatumwa survival ni 5 secs tuu inapotea..
Hakuna kinachopotea kwenye Computer, kwa taarifa yako simu yeyote hasa smart phone ni computer kamili.
Operating system za Smart phone ni Unix based OS ka vile Linux, n.k.
Mimi niletee computer/simu yako futa unavyojua wewe kisha nakurudishia hivyo vitu.

Sasa jiulize itakuwaje hizo nyenzo za wazayuni?
Mimi kilaza tu kama wengine wengi.
 
Chombo chochote kinachokuwa controlled na mwingine hakina siri...
everything is for sale but for the right price....
 
Wanaweza kuwasha camera yako bila kujua wakakupiga selfie au kupiga picha ndani mwako n.k.
Unamkumbuka mchungaji/askofu flani maarufu toka Koromije na sex tape yake?

Inawezekana ilikuwa ya kweli na lipigwa picha bila kujua toka kwa webcamera ya laptop yake au alipigwa kwa simu yake ikiwa ktk charging stand.
Ile ya yule askofu ilidukuliwa kutoka kwenye simu yake au Laptop kama ulivyosema. Inaelekea ana mtindo wa kujirekodi na kuhifadhi hizo clips halafu anakuja kujiangalia baadae alivyokuwa anatenda. Sasa wajanja wakaingilia simu yake na kuitungua.Kuna mmoja anapinga eti hatuna fedha ya kununua. Naona anaota ndoto ya mchana. Ma -hackers wako wenye uwezo mkubwa sana. Nchi kama China, Urusi na Marekani kuna watu wenye uwezo mkubwa. Hao ukiwakatia chao wanakufanyia kazi unayotaka. Hapo sijazungumzia ushirikiano wa nchi na nchi au nchi na makampuni makubwa.
 
Back
Top Bottom