wakuu kuna kisa cha ukweli mke wa rafiki yangu kalala na mwanaume amekutana nae facebook tena kwa aibu kubwa mana wameanza kuchat ndani ya mwezi mmoja tayari wakasex na kibaya zaidi huyu demu mke wa rafiki yangu alikua na mimba ya miezi 5!!!...kiukweli huyu dada kafanya tukio la aibu sana mana hata mume wake anashindwa kumwelewa mtu mzima kuwa na tabia chafu kiasi hiki...
Ukiangalia watu walioko facebook hakuna kitu cha maana wanachoweza kujadili kwa maana ya issues!!! Pale watu wanaandika pumba tu mara nimechoka,naumwa,nina hasira na mambo mengine meengi ya kienyeji..
Kama mkeo ama mumeo yuko facebook kuwa makini sana...
Huyo mwanamke kicheche kwenye mtandao kagawa uroda je kama unakutana naye kwenye safari simnaenda kupanga hotel moja bila hatakutongozana??sema huyo mshikaji wako hakumstukia demu kama Cheche languvu!!Wakuu kuna kisa cha ukweli mke wa rafiki yangu kalala na mwanaume amekutana nae facebook tena kwa aibu kubwa mana wameanza kuchat ndani ya mwezi mmoja tayari wakasex na kibaya zaidi huyu demu mke wa rafiki yangu alikua na mimba ya miezi 5!!!...kiukweli huyu dada kafanya tukio la aibu sana mana hata mume wake anashindwa kumwelewa mtu mzima kuwa na tabia chafu kiasi hiki...
Ukiangalia watu walioko Facebook hakuna kitu cha maana wanachoweza kujadili kwa maana ya Issues!!! pale watu wanaandika pumba tu mara nimechoka,naumwa,nina hasira na mambo mengine meengi ya kienyeji..
kama mkeo ama mumeo yuko facebook kuwa makini sana...
Kwa ujumla mambo ya mahusiano, uzinzi, na uzinifu hayajasalimika na mapinduzi yaliyoletwa na maendeleo ya dotcom. Siku hizi ni rahisi sana kuchiti na unaweza kuchiti bila mwenzio kujua au kuhisi kuwa unachiti.
Unaweza uka hook up na mtu aliye mbali na wewe. Mkapanga mambo mengi sana. Mkapanga mkutane wapi na lini. Mnaweza mkanunua tiketi zenu za ndege kupitia mtandaoni. Mkabook na hata chumba cha hoteli kupitia mtandao. Mtu unaweza ukawa na email accounts kibao kila moja ikiwa na dhumuni lake. Na hata kama umeoa au kuolewa bado unaweza kufanya haya yote bila mwenzio kujua na huyo mwenzio akabaki kujua wewe u mwaminifu kwake kumbe wapi.
Siku hizi kuna hadi tovuti za kutafutia infidelity. Yaani wote mnaokuwa wanachama wa hiyo tovuti na kwa ujumla hali zenu na malengo yenu yanakuwa yamefanana. Wote mnakuwa mko kwenye ndoa na wote mnakuwa mnatafuta infidelity kwa siri. Mkikutana huko na kuongea na kukubaliana yanayofuata ni kitu na boksi.
Kwa hiyo kwa ujumla mtandao (iwe facebook, twitter, gmail, yahoo, JF, n.k.) umekuwa kiungo muhimu sana katika kurahisisha uzinzi wa watu. Inasikitisha lakini ndo ukweli wenyewe huo.
Nimejaribu kuangalia wanaounga mkono hoja na wale ambao wanakuwa wakali kwa watu wanaoisema vibaya fb nikagundua ke wanaipenda zaidi.
Huku ni wana JF ss FB inatafuta nn katupe au post huko kwenye FB yenu huku tunajadili mambo ya maana jamani hebu Model tafadhali ondoa hii tuna mambo mengi ya kujadili huku plzzzzzzz!
Suala hapa sio huyu shemeji yangu kumegwa...amemegwa akiwa na mimba ya miezi 5!!! na kwa jinsi alivomuambia mume wake alikutana na huyu jamaa FB na akalala nae the whole nite akiwa ameaga anaenda kwao Tanga!!! jamaa yuko njiapanda amuache ama avumilie huu ufuska?!!