Kuweni makini na facebook


mkuu kwanza nawapa pole sijui hongera kwa yaliaomkuta maana jamaa ameamua kuongezea mashikio na pua unajua mwezi wa tano ndio muda wake huo.....sasa labda akaona pua ya jamaa iko kama ya babu yake wacha asitoe kituko cha mwaka ajazie wka mshikaji

pili
nafikiria huyo jamaa yako kaoa mlupo tena wa nguvu na tatizo kubwa vijana wetu wa kileeo mnakimbilia wanawake bomba amjui ametokea wapi ana maisha gani..hayo ndio mapito lakini ukija kuangalia vizuri rusimlalamikie tu huyo dad mwambie afanye marping ya wakwe zake lazima kuna kufumaniana sasa hii ni fundisho kwa mnaoingia kanisan jumamosi na jumapili na wenzangu wa ijumaa ..swala sio tu demu anarembea mnakimbizana nae...mpe pole sana

tatu
facebook aina matatizo mkuu kabisa kabisa kabisa ..yaani hiyo mutu yako iko na problema kuba tuu haata angekuja jf wangemfukunyua tu kwa style yake uliosema la maana baba
chukua chako mapema mwambie aanze amefuga pepo tena makata
 
:nimekataaJamani acheni kuwahusisha watu wote na tukio la mtu mmoja...........huwezi sema kwakuwa fulani yuko hivi kwenye fb, basi kila aliyeko fb yuko vile. Kila mtu ana tabia yake na anatumia kulingana na mahala alipoona ni sahihi kutumia hiyo tabia.
Ila kusema kweli huwezi kulinganisha fb na JF. JF ipo juu. JF wanadiscuss issues za maana sana zinazojenga jamii. lakini fb, mhhhhhhhhhhhhhhhh. Acha tu. Yaani hata ukipost kitu cha maana wengi watakuona mjinga tu na hawatachangia chochote. Kwa hilo nakuunga mkono ila usifikiri ni kila mtu yuko kama mwana dada huyo.
 
Huyo mwanamke kicheche kwenye mtandao kagawa uroda je kama unakutana naye kwenye safari simnaenda kupanga hotel moja bila hatakutongozana??sema huyo mshikaji wako hakumstukia demu kama Cheche languvu!!
 
Jaribu kufanya hesabu rahisi ili kupata faida na hasara za fb. Kama wewe in mathematician mzuri utabaini kuwa kuna faida nyingi za kijamii zitokanazo na mitandao kama fb kuliko vinginevyo. Mbona mleta thread hajasema kuweni makini na simu nk?
 
Tatizo sio fb, tatizo ni huyo mwanamke na mwanaume aliyemmega na wengine wenye tabia kama zao waliopo kwenye hiyo mitandao
 
Duh!!muoneeni huruma kidogo mwenzenu.....ila naye alitakiwa awe anafikiri zaidi ya anavyofikiri sasa, kwaiyo watu wakikutana makanisani/misikitini na kuamua kufanya uzinzi wao na sisi tuache kwenda kanisani/msikitini?????Huyo mwanamke mzinzi tu!!!!
 

Nimejaribu kuangalia wanaounga mkono hoja na wale ambao wanakuwa wakali kwa watu wanaoisema vibaya fb nikagundua ke wanaipenda zaidi.
 
Huku ni wana JF ss FB inatafuta nn katupe au post huko kwenye FB yenu huku tunajadili mambo ya maana jamani hebu Model tafadhali ondoa hii tuna mambo mengi ya kujadili huku plzzzzzzz!

unaweza ukasema Moderator au Mod kwa kifupi.
 
ana pepo huyo!!!

wala si maswala ya facebook naomba Mungu asiifahamu JF.
 
Hatuwezi kuilaumu facebook na kusema kuwa eti facebook hakuna la maana wanalojadili nadhani hii ni subjective zaidi ya mtandao wenyewe. Nadhani tuwalaumu hao jamaa wazinzi kwa kushindwa kuitunza miili yao na kuitumia kihisia zaidi ya kiakili na busara! Hasa huyo mke wa mtu kwani alijua tayari amekwishafungamana na mwenzie wa ndoa lakini akautoa mwili wake utawaliwe na tamaa zake za mwili!
 

Hivi ingekuwa huyo jamaa yako ndo kato€¥£
nje ungeongea maneno haya. Ungeanzisha Uzi huu?
 
mkuu unacholalamikia kamegwa akiwa na mimba ama amemhujumu mumewe@@@@
 
huyo rafiki yako mwambie amtimizie mahitaji yote mkewe inavyoonekana huyo mke wa rafiki yako ana matatizo katika ndoa thats y kafanya anafanya mambo ya ajabu
 
Duuu hiyo ni hatar sasa jamani,sa' best 'ako amelichukuliaje hili?mpe pole na amkabidhi Muumba!!!kweli ni lazima tuwe makini na utandawazi
 
Sure haijalishi, ni wapi watu wanakutana, ukiwa na tabia ya inzi utatua popote penye uvundo, huenda huyo mwanamke alifanya kukomoa. Sio hivi hivi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…