Kuweni makini… msitolewe nje ya reli!

Kuweni makini… msitolewe nje ya reli!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
97,075
Reaction score
136,489
Naona baadhi yenu mko excited na huyo Samia kutangaza baraza lake haramu la mawaziri.

Binafsi sina muda wa kuzungumzia na walio haramu wanajipa vyeo gani halafu nikasahau maelfu ya vijana na watoto waliowaua kikatili sana.

Kulenga kumjadili Samia na baraza lake haramu ni kuanza kumpa uhalali [ambao hana] kidogo kidogo.

Mimi sitoki nje ya reli. Sina kumbukumbu fupi na huwa sisamehi wauaji wa makusudi.

Itapendeza sana endapo na nyie mkiachana na mambo ya hao haramu na kuongeza nguvu katika kuwawajibisha wauaji wote, wakiongozwa na Samia.

Stay focused, please. We have a genocidal maniac masquerading as president.

We have to make her pay for all the blood she spilled.
 
word, hata mimi nimelishtukia hilo, angalia kumteua mwanawe hii yote ni (kujaribu) kuwatoa relini, lkn kwa maoni yangu hii regime haina maisha, …
 
Mimi nimeona uteuzi alioufanya ndo kwanza umezidisha hasira kwa wananchi. Hawa watu hizi akili sijui wamezitoa wapi aiseee.
 
Na ndo malengo yake nashangaa kwanini wanaleta hizo nyuzi humu
 
Ila huyu Mama...Dotto Biteko alitumika kama tambara la deki kumsafishia njia....sasa ametupwa
 
Naona baadhi yenu mko excited na huyo Samia kutangaza baraza lake haramu la mawaziri.

Binafsi sina muda wa kuzungumzia na walio haramu wanajipa vyeo gani halafu nikasahau maelfu ya vijana na watoto waliowaua kikatili sana.

Kulenga kumjadili Samia na baraza lake haramu ni kuanza kumpa uhalali [ambao hana] kidogo kidogo.

Mimi sitoki nje ya reli. Sina kumbukumbu fupi na huwa sisamehi wauaji wa makusudi.

Itapendeza sana endapo na nyie mkiachana na mambo ya hao haramu na kuongeza nguvu katika kuwawajibisha wauaji wote, wakiongozwa na Samia.

Stay focused, please. We have a genocidal maniac masquerading as president.

We have to make her pay for all the blood she spilled.
Watu wengi wamekuwa wanasukuma taarifa zao kuliko hata uvccm au redio uhuru, wamekuwa media zao za bure wakidhani inawabomoa kumbe inawapa uhalali zaidi.
 
We subiri mkuu hiyo D9, this time hawataamini. Hofu yangu ni wao kuja na gia ya kusapot waandamanaji.

Wakija na hiyo gia, sijui plan B itakuwa ni ipi?
No!

Hatutaki unafiki na hatutaki urafiki feki.

Wameua vijana wetu kwa makusudi halafu waje kuunga mkono maandamano?

Hapana. Hatudanganyiki na tusidanganyike.
 
Back
Top Bottom