Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,075
- 136,489
Naona baadhi yenu mko excited na huyo Samia kutangaza baraza lake haramu la mawaziri.
Binafsi sina muda wa kuzungumzia na walio haramu wanajipa vyeo gani halafu nikasahau maelfu ya vijana na watoto waliowaua kikatili sana.
Kulenga kumjadili Samia na baraza lake haramu ni kuanza kumpa uhalali [ambao hana] kidogo kidogo.
Mimi sitoki nje ya reli. Sina kumbukumbu fupi na huwa sisamehi wauaji wa makusudi.
Itapendeza sana endapo na nyie mkiachana na mambo ya hao haramu na kuongeza nguvu katika kuwawajibisha wauaji wote, wakiongozwa na Samia.
Stay focused, please. We have a genocidal maniac masquerading as president.
We have to make her pay for all the blood she spilled.
Binafsi sina muda wa kuzungumzia na walio haramu wanajipa vyeo gani halafu nikasahau maelfu ya vijana na watoto waliowaua kikatili sana.
Kulenga kumjadili Samia na baraza lake haramu ni kuanza kumpa uhalali [ambao hana] kidogo kidogo.
Mimi sitoki nje ya reli. Sina kumbukumbu fupi na huwa sisamehi wauaji wa makusudi.
Itapendeza sana endapo na nyie mkiachana na mambo ya hao haramu na kuongeza nguvu katika kuwawajibisha wauaji wote, wakiongozwa na Samia.
Stay focused, please. We have a genocidal maniac masquerading as president.
We have to make her pay for all the blood she spilled.