mwanamke kuanika nyeti zake hadharani kama bidhaa ni ukosefu wa akili au ni sifa?
Hiki kitu nimekiona mara nyingi sana kwa hawa wadada wanaojiita masupa staa wa bongo, hasa waigizaji na waimbaji wa mziki. Sijui huwa wanawaza nini! Tabia hii binafsi naiona ni kama uchafu wa akili,kukosa heshima na kudharau jamii nzima iliyowazunguka, Kumbuka kuwa magazeti mengi yamekuwa yakiwapiga picha hizo na kuzianika ambapo wazazi, kaka na ndugu wa karibu hujikuta wanalazimika kuangali nyeti za mtoto au ndugu yao kitu ambacho nakitafsiri kama utovu mkubwa mno wa maadili ndani ya jamii.
Kwa kweli wajirekebishe wanatukera wengi.