Kuweka IPTV Katika Receiver

yap na quality full HD au HD kawaida. kwa mechi za Uefa zikiwa zinachezwa ile saa 4 na dk 45 unatumia tu kifurushi cha usiku.

ila sasa hivi inachezwa saa 3 huwezi tumia, mpaka uwe na vifurushi maalum.
Mkwawa vip naweza pata ya wasafitv
 
Hii link ya ITV kwa simu inakubali ila kwa resiva inakataa sijui tatizo nn
 


mkuu leo nimeona kwa jamaa ktk server yake ana chanel
star tv
ch 10

hata sijui kazitoa vipi!
 
Wewe tapeli tayari ushachungulia fursa na huku?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…