Kuwe na Wizara ya nyumba na makazi ili kuboresha makazi ya watu

Anita Kajembe

JF-Expert Member
Jun 29, 2021
215
485
Wizara ishughulike na ujenzi wa majengo ya watu kuishi. Nyumba za ghorofa za kuchukua familia 50 kwenye block moja. Wakaxi wanakua wapangaji wa wizara na kodi inayokusanywa inasaidia kujenga nyumba nyingine.

Wanaotaka kujenga nyumba zao waombe kibali, kigezo cha kupata kibali ni kuonyesha ushahidi wa uwezo wa kujenga nyumba ya kisasa. Uwe na milioni 30 za ujenzi.

Wapangaji wa Wizara wasio na uwezo wa kulipa kodi wapatiwe kazi ya kusafisha communal areas za maeneo wanayoishi. Wakazi wakilalamika uchafu hatua kali zichukuliwe.

Kuwe na idara ya urekebishaji kama wakazi wakiripoti hitilafu kuanzia maji, umeme, kuharibika kwa dirisha nk.

Katika makazi kuwe na viwanja vya watoto kucheza, wafanya biashara wakaribishwe kujenga hoteli, bar na maduka karibu.
 
Hii haihitaji Wizara!! Wapo NHC ambao moja ya kazi zao ni hilo
Inawezekana hawana lengo la kuboresha makazi ya raia hasa wa kipato cha kati na chini. Tangu kuanzishwa kwa NHC bado uhaba wa nyumba hauja pata suluhisho.
 
Wizara ishughulike na ujenzi wa majengo ya watu kuishi. Nyumba za ghorofa za kuchukua familia 50 kwenye block moja. Wakaxi wanakua wapangaji wa wizara na kodi inayokusanywa inasaidia kujenga nyumba nyingine.

Wanaotaka kujenga nyumba zao waombe kibali, kigezo cha kupata kibali ni kuonyesha ushahidi wa uwezo wa kujenga nyumba ya kisasa. Uwe na milioni 30 za ujenzi.

Wapangaji wa Wizara wasio na uwezo wa kulipa kodi wapatiwe kazi ya kusafisha communal areas za maeneo wanayoishi. Wakazi wakilalamika uchafu hatua kali zichukuliwe.

Kuwe na idara ya urekebishaji kama wakazi wakiripoti hitilafu kuanzia maji, umeme, kuharibika kwa dirisha nk.

Katika makazi kuwe na viwanja vya watoto kucheza, wafanya biashara wakaribishwe kujenga hoteli, bar na maduka karibu.
Hayo mambo ndio yataongeza ugumu wa maisha
Unaiamini hiyo serikali kumudu kujenga mamia ya nyumba kila mwaka???
Na unaposema lazima uwe na 30m kupata kibali unataka ma milioni wafeli kujenga na wafe maskini nyumba za kupanga
 
Wizara ishughulike na ujenzi wa majengo ya watu kuishi. Nyumba za ghorofa za kuchukua familia 50 kwenye block moja. Wakaxi wanakua wapangaji wa wizara na kodi inayokusanywa inasaidia kujenga nyumba nyingine.

Wanaotaka kujenga nyumba zao waombe kibali, kigezo cha kupata kibali ni kuonyesha ushahidi wa uwezo wa kujenga nyumba ya kisasa. Uwe na milioni 30 za ujenzi.

Wapangaji wa Wizara wasio na uwezo wa kulipa kodi wapatiwe kazi ya kusafisha communal areas za maeneo wanayoishi. Wakazi wakilalamika uchafu hatua kali zichukuliwe.

Kuwe na idara ya urekebishaji kama wakazi wakiripoti hitilafu kuanzia maji, umeme, kuharibika kwa dirisha nk.

Katika makazi kuwe na viwanja vya watoto kucheza, wafanya biashara wakaribishwe kujenga hoteli, bar na maduka karibu.
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya makazi ili Watalaamu wote wa hiyo Hoja yako wao kwa sasa kazi yao kubwa ni KUSABABISHA MIGOGORO YA ARDHI
 
Back
Top Bottom