Swala la kuwavalisha matabibu sare za shule Kama wanafunzi wa sekondari Ni fedheha kubwa mno
Inawashushua heshima pia hata mgonjwa anakuwa hayupo comfortable kuguswa na mtu aliyevaa sare za sekondari
Angalau libuniwe vazi lingine la tofauti kabisa na sare za sekondari Kama sare za watu wanaosoma unesi angalau kuliko uniform wanazovaa matabibu
Hii ni fedheha
Inawashushua heshima pia hata mgonjwa anakuwa hayupo comfortable kuguswa na mtu aliyevaa sare za sekondari
Angalau libuniwe vazi lingine la tofauti kabisa na sare za sekondari Kama sare za watu wanaosoma unesi angalau kuliko uniform wanazovaa matabibu
Hii ni fedheha