The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,875
- Thread starter
- #21
mi nikimtamani mwanamke atajua tu! Coz kila nikimuona macho yangu siyabandui kifuani au hapo kwenye mashine yake! Na nikipishana nae lazima nimgeukie nitizame plate number!
ha haaa unawafanya wengine wapite karibu yako wajisikie tu vizuri lol