Ana fungus huyo.... Anakulaumu wewe yaani wewe ndio umemletea muwasho?!Habari zenu wakuu! Nahitaji mawazo yenu mke wangu amekua na tatzo la kuwashwa kila baada ya kumaliza tendo.Hali hii inapelekea mwenzangu kunihisi nimechepuka kitendo ambacho kinachoniumiza ndoa yang ipo mashakani.naombeni msaada wenu wa mawazo