Kuwashtaki Teachers Junctions kwa utapeli Mbeya

Kuwashtaki Teachers Junctions kwa utapeli Mbeya

SEPO

Member
Joined
Jan 18, 2014
Posts
53
Reaction score
16
Wadau wote mlio wahi tembelea teacher'junction Mbeya na wote mlio tapeliwa pale mbeya kwa kutoa Pesa na,vyeti,cv kujiandikisha pale kwaajili ya kuunganishwa na waajiri shule mbali mbali zoezi hilo halikufanyika na majibu yake MAKAO MAKUU WANADAI WAMEFUNGA TAWI NA MAAFISA WAO WALIO LAGHAI WATU ETI WALIKUA NI BATILI. hawaelezi nini watatufidia na mda mrefu kidogo hawapokei simu .................najiandaa kupeleka shauri la jinai/madai kwenye vyombo vya sheria kwa kukusanya pesa zetu kitapeli bila hata kutuunganisha na waajiri,hata usaili mmoja kufanyika. wametudanganya na wamekula pesa zetu ovyo ni kosa la jinai tafadhali sana wote victims wa sakata ni pm kama utakua na kielelezo tafadhali ni pm
 
Mkuu imma.one, wewe ni dalali wa hawa watu humu jamvini. Inakuwaje unajitoa fahamu kwa hoja iliyopo na badala yake unaweka tangazo? Haya ni matumizi mabaya ya jukwaa na kuwaona wachangiaji wengine hawana maana.

Mimi nilikuita hapa makusudi ili uje kujibu madai ya utapeli ya SEPO hapo juu.

Kuwa na adabu mtu wangu.
 
huyu Steven wa vipajiLink ashughulikiwe kwanza kwa utapeli.
 
mimi nilishawahi teacher junction wezi na hao wakuu wa mashule... angalieni vijana mtapokonywa na kidogo mlo nacho
 
Jamaa kazi zao hazina utapeli unless mshindwe kukubaliana terms na isitoshe ukifika pale wako wazi to that extent.
Mimi nadhani tuache optimism mitandaoni na kama ulienda na akakutapeli weka facts.
Pia unatapeliwaje kitu ambacho unapewa maelezo kbla?
 
Back
Top Bottom