The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,084
- 14,564
Niliona upanga dar magari ya wahindi na waarabu wanaenda pale kwenye njiwa wanarusha mtama wengi sana nikajisemea labda ni mapenzi tu.
Wiki ilopita nikaenda zanzibar pale darajan nilikuta watu si chini ya 30+ nilohesabu wakitupa mtama .uwele na mchele wa kabila na rangi zote mbaya zaidi akaja na mkuu wa mkoa sikujua wa wap ila alikuwa na bodigadi kawapa mtama kama kilo 4 hivi .
Ila safari hii niliweza kuwa karibu niliona kuna maneno wanaongea
Magari ya maana ya waarabu wanashuka familia na watoto mchana na sio weekend wanawarushia
Wiki ilopita nikaenda zanzibar pale darajan nilikuta watu si chini ya 30+ nilohesabu wakitupa mtama .uwele na mchele wa kabila na rangi zote mbaya zaidi akaja na mkuu wa mkoa sikujua wa wap ila alikuwa na bodigadi kawapa mtama kama kilo 4 hivi .
Ila safari hii niliweza kuwa karibu niliona kuna maneno wanaongea
Magari ya maana ya waarabu wanashuka familia na watoto mchana na sio weekend wanawarushia