Inaonekana wasirra amewashika CDM pabaya sana , ukisoma thread zote Leo humu jf Wanamaker CDM wanalalamika na kulia lia km watoto. Kaza buti wasirra ulipowashika ndipo hapo hapo wala hujakosea
Sidhani kama Wassira ana hoja, je wewe angekuwa Wassira babu yako ungejisikiaje? uBabu na pumba ni vitu viwili tofauti, babu kachemka kwelikweli.
Alafu yakisemwa mazito kumuhusu yeye utamsikia Tendwa anaingilia kati na hoja ya kujenga chuki kwenye jamii.
Kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti.
Inaonekana wasirra amewashika CDM pabaya sana , ukisoma thread zote Leo humu jf Wanamaker CDM wanalalamika na kulia lia km watoto. Kaza buti wasirra ulipowashika ndipo hapo hapo wala hujakosea
Mimi mwenyewe nashangaa jamaa wa CDM wamecharuka kwa matusi mazito mazito kwa Wasira lakini hawasemi amewafanya nini...wangekuwa wanajibu hoja tungepata mwanga kujua hata wanacholalamikia.
Baada ya Wasira kuanza siasa za maji taka mwisho wa siku zitamrudia mwenyewe kwa kuwa siasa za majitaka huwa zinabackfire! Sasa kwa emortions unaweza ukaanza,lakini siku zote zilizobaki duniani utabaki unajuta na kujilaumu.
Ukubwa siyo kukomaa sura, ila ni pamoja na hekima! Nadhani Wasira na wenzie wamekosa hekima ya uongozi, lakini majuto ni mjukuu, ukianza siasa hizo hata mambo uliyoyafanya na ukasahau utakumbushwa na unaweza kuidhalilisha familia yako, kama mtu zima laazima utafakari jambo kabla hujafanya au kama si hivyo uwe tayari kwa lolote.
Je Wasira uko tayari kwa lolote? Nadhani jibu ni ndio , ndio maana umelianza hili, ila usije ukafa kwa pressure!!! pole kwa kuanzisha kitu kigumu mzee Wasira.
Nawasilisha.
Hakuna ukweli wowote.Dr Slaa ameacha upadri mwenyewe kwa kufuata taratibu zilizopo katika kanisa katoliki.I am a catholic and i know this.Procedures zote amezifuata na wala hakufukuzwa.Aliaminiwa sana na TEC hadi kupewa wadhifa huo wa katibu wa TEC.Suala la upadri au uana ndoa ni wito ambao ni namna mtu anataka kuishi maisha yake,ni uhusianpo wake na Mungu.Ukiamua kwa ari yako kutoka kwenye upadri ni ruksa.
Dr Slaa sio mnafiki,kuna watu wengi wanaishi kwenye upadri lakini wanavunja taratibu.Yeye ameamua kuwa wazi na kuamua kutoka.