Nina rafiki yangu mmoja, amekuwa single kwa muda wa miaka 2 na nusu hivi.. Naamekuwa akitumaini kupata mchumba wa ndoa siku za karibuni.. Jambo ambalo linauumiza moyo wake ni kila demu anaehisi anamfaa akajaribu kutupia mistari anaambiwa " na mtu wangu tangu mwaka jana mara " umechelewa" kwa kifupi kafight kwa wadada kama wa 5 hv kitu hola.. Kwa upande wangu nlimshauri akomae na mmoja had kieleweke, nilimueleza kuwa anaweza kupindua mahusiano ya dhati yakahamia kwake but anahofu isije ikiwa kweli mtu anawake akawa amepoteza muda kupenda mtu anae milikiwa.. JE MWANAJF USHAURI NI UPI JUU HILI..?