Kuwa na subira ewe Mwanamke, utapata anayekufaa

Kuwa na subira ewe Mwanamke, utapata anayekufaa

Ila ukitaka kumtoa mtu moyoni inawezekana. Japo itachukua muda ila mwisho wa siku utafanikiwa
Hakuna aliyefanikiwa katika hilo. Wengi wamejikuta wakiwa wazinzi na walevi chanzo kikiwa ni kutafuta njia ya kujitoa kwenye maumivu
 
Mwanamme habembelezwi? Hataree bas we mshikie panga
 
I noticed the females with money don't complain about Niggaz
 
Hakuna aliyefanikiwa katika hilo. Wengi wamejikuta wakiwa wazinzi na walevi chanzo kikiwa ni kutafuta njia ya kujitoa kwenye maumivu
Mimi ni mmojawapo wa waliofanikiwa kumsahau/kumtoa moyoni niliempenda mno mpaka niliona wengine kama kaka zangu tu
 
Mimi ujicheka kila Mara!! ninapojipata kweny janga,,..coz most of the time ujipata solo,..wale mi ucheka nao sijui wako wapi,..mko mko mko. Mko..where are you!...
 
Mwanaume usimuoneshe upendo sana hata kama unampenda coz akijua dharau ndo zinapoanzia just kua kawaida tu
 
Back
Top Bottom