Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
Hello Guys,
Katika maisha ya sasa (sijui huko nyuma) kuwa na marafiki wanaoleweka namaanisha wenye uchumi wa kati na wajuu kama wewe ni hohe hahe ni ngumu sana kujoin na watu kama hawa, utaishia kuwa na wa level ya chini ambao nao ukipata changamoto ya kifedha e.a hawawezi kukusaidia zaidi ya kusikitika na wewe.
Kama huna hela jua na marafiki wa kueleweka huna automatcal.
Huku kubaguana kupo kuanzia kwenye jamii ya chini, siasani, kwenye misiba na sherehe hata huko Makanisani ni kawaida kuona waamini baada ya Ibada kuisha kujitenga tenga kwa makundi madogo madogo kujadili mambo mbalimbali. Inasikitisha. Na ukiwa kiherehere usiye na msaada ndio husikilizwi kabisa.
Katika maisha ya sasa (sijui huko nyuma) kuwa na marafiki wanaoleweka namaanisha wenye uchumi wa kati na wajuu kama wewe ni hohe hahe ni ngumu sana kujoin na watu kama hawa, utaishia kuwa na wa level ya chini ambao nao ukipata changamoto ya kifedha e.a hawawezi kukusaidia zaidi ya kusikitika na wewe.
Kama huna hela jua na marafiki wa kueleweka huna automatcal.
Huku kubaguana kupo kuanzia kwenye jamii ya chini, siasani, kwenye misiba na sherehe hata huko Makanisani ni kawaida kuona waamini baada ya Ibada kuisha kujitenga tenga kwa makundi madogo madogo kujadili mambo mbalimbali. Inasikitisha. Na ukiwa kiherehere usiye na msaada ndio husikilizwi kabisa.