Kuwa first born sometimes ni shida

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa bwana!

Haujisikii fahari kuwasaidia wazazi majukumu kwa kuwasaidia wadogo zako wa damu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji134][emoji134][emoji134]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha ha[emoji23]

Kwahiyo huu ni unyonyaji kama unyonyaji mwingine?[emoji16][emoji16]
 
First born lazima asulubike ata kama yupo peke yake...haiwezekana first born aharibu titi la mama na baadhi ya viungo vyake afu akikuwa mkubwa eti anataka asisulubishwe....

Ukiwa me ndo usisemeee
Ha ha ha ha afuu kweli wallah
 
Ungejua...Ila umetutukana[emoji23][emoji23]
Mkuu wachunguze[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16]... Yanadeka hataree

Mi naliona dogo linalonifata ni la mwisho yaan yule nati zimelegea..

Thanx God wazazi wangu wasingefanya makaratee huo utopolooo ungeniangukia mimi[emoji848]
 
Akina viziwanda tupo hapa..😀
Kwani tuliwalazimisha muwahi si mlikuwa mnakimbia kwa spidi kule nanilii mkatuacha!.. tuleeni tu.
 
Ha ha ha

Piga kelele akeee kwa Wyatt...weuweeeeeee

Saint Anne Hizo baraka zichukue wewe zikusaidie kulea watoto wako[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…