Kuwa first born sometimes ni shida

Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
 
Hongera sana mkuu kwa kubeba majukumu ya familia
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
Hahaaa uyo nyoko dadeki zake sasa uyo unamsaidia tu then ktk matokeo unamsema mpaka ajione hajui tena unamuumua mbele ya wazazi
 
Nilikutana na mtu mmoja wa kanda fulani akaniambia, jamii nyingi kwenye familia wanatumia mtoto wa kwanza kutanya matambiko yao ambayo huwaathiri wao na maisha yao.
Akaniambia nichunguze mafanikio ya first born wengi na mikasa ya maisha wanayokutana nayo.
Nilikuwa mnyonge sana japo sijui ukweli wa hili.

Lakini Mungu ndiye anaamua hatma ya maisha ya kila kiumbe.

Sent from my Nokia 3.1 using JamiiForums mobile app
 
Wadogo zangu wawili wananielewa vema sana nipoje

Huwa sicheki nao kabisaaaa, ukiomba hela ya shule unatakiwa kuja na maendeleo yako ya shule kama huwezi kajitafutie

Kwenye maswala ya shule sicheki na kima yoyote

Na nimewaambia mkishindwa kila mtu akatafutr pa kukaa sio kwenda kusumbua wazee
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.

Unamchekea mzee, huyo unatakiwa upigge awe na woga na ww kwanza
 

First borns are automatically deputy parents [emoji23] ukiwa mzaliwa wa kwanza yani wewe unakua ni mzazi mwandamizi [emoji3]. This is Africa, ndo tunaishi kwenye hizo falsafa.
 
unachanganya mambo hapo mkuu,

majukumu ya kifamilia unayozungumzia ww ni ile ya kwako mwenyewe waliotoka viunoni mwako au tumboni mwako.
kama Baba au Mama.
 
Sante sana,
Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..💪👊🤝
 
Sante sana,

Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..[emoji123][emoji109][emoji1666]
Hahaha, Deputy parents. Ubongo unakomaa kabla ya wakati
 
Sante sana,

Imeisha hiyo,kukazia naomba sie mafirst born aka "Deputy Associate Parents" tujuane kwa kugongeana likes hapa..[emoji123][emoji109][emoji1666]
Hahaha, Deputy parents. Ubongo unakomaa na majukumu kabla ya wakati
 
Sasa mimi ni first born ila nipo peke yangu....Huu uzi unanihusu?
 
Ni hatari sana..
 
Wengine sio wazaliwa wa kwanza ila ni wa kwanza kuwa na ahueni kimaisha, unakuwa na mzigo wa wale walio juu yako, wa chini yako jumlisha wazazi.
 
Me mdogo wangu kaniblock kwenye social media zake zote kisa nlikuwa namfatilia akipost nakwambia unaacha kusoma Kazi kupost. Lakini akiwa na shida msaada wa mawazo au kifedha kimbilio lake ndo Mimi.
As kaka mkubwa nashukuru nilipokea majukumu kuwavusha wadogo zangu hadi Uarabuni (UAE) huko wakafanikiwa Ajira na maisha .... sasa sina maResponsibility.!!
 
Mungu azidi kukupiginia mkuu.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…