Kuwa first born sometimes ni shida

Kuwa first born sometimes ni shida

Grena

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
656
Reaction score
1,557
Habari zenu wakuu,

Jamani ma first born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato cha kawaida nadhani msoto wa kukabidhiwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada yaani ushatwikwa majukumu kama yote.

Mafirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.

1627393417125.png

 
Habari zenu wakuu,

Jamani maFirst born hasa tuliozaliwa kwenye hizi familia zetu za kipato Cha kawaida nadhani msoto wa kukabiziwa majukumu kabla ya wakati mnaujua.

Yani umepata kibarua Chako hata we mwenyewe hujimudu vizuri, unakabidhiwa mdogo wako umsomeshe na majukumu mengine ya nyumbani usaidie. Yani wadogo zako wao slope tu, kitu kidogo mtafuteni kaka/dada Yani ushatwikwa majukumu Kama yote.

maFirst born mliobeba majukumu ya mzazi popote mlipo hongera zenu.
Ndio maana Maandiko Matakatifu yanasema kuwa tuwaombee.
 
Hongera kama wazazi wameweza kukutegemea japo kipato hakitoshi. Ni vita kubwa ya kiroho wamepambana nawe pia umepambana bila kujijua maybe hadi wewe umefika hapo.

Kuna wazazi wengi watoto zao wa kwanza hawawezi hata kuwategemea kwa ushauri maana mshale wa dira upo kusini badala ya kaskazini yaani kama ni dish la kiroho lilishaaguka kabisa no chanel.

Maan mtoto wa kwanza ni vuno bora linalotafutwa na Muumba pamoja na ibirisi. Wote hao wanakuwinda wachukue hesabu yako kwako.. Ibilisi anapiga kichwa cha familia/first born ili familia iivurugike na Mungu anataka akiongeze kichwa cha familia ili familia isipalanganyike. Kama mzazi au mzaliwa wa kwanza usipojitambua utaishia kubaya.

Hongera sana kwa hilo maana tambua kwamba Mafanikio yako si ajili yako bali kwa ajili ya wae walio nyuma yako. Siku moja kidogo hicho kitaongezeka usivunjike moyo✊

Tembea na kanuni hii... Family- Duty- and Honor

Family always come first
 
Napenda kudeka japo ni mchapa kazi na mvivu vilevile....

Nawaza ningekuwa mzaliwa wa kwanza, ningekuwa mkaliii...!

Wazaliwa wakwanza wote kongole kwenu.

Ila hii haiwahusu wale waliozaliwa peke yao au watoto wa pekee.
 
Family, Duty and Honor..

Family comes first, kama kichwa cha familia unatakiwa kuwa pamoja na familia yako muda kuilinda, Kuihudumia na kuiongoza..You can't protect the family if you're not with the family.

Duty comes second...As Kiongozi wa familia Timiza wajibu wako katika familia kama kichwa wa familia anavyotakiwa kua..Hatma ya familia ipo mikononi mwako. Kama Kiongozi fanya wajibu wako uweze kuivusha KIUCHUMI,KIAKILI,KIIMANI NA KIJAMII.

Then Honor.. Ukiyatimiza hayo utapata heshima yako unayostahili kama kichwa wa familia. Utazeeka ukiwa una uso ulio na afya njema maana familia yako itakua mikononi salama mwa mtu uliyemrithisha maneno hayo. Family Duty and Honor.
We all want to belong to something...We belong to the family.. Our family that we care and love.
-Vinchii
 
Kweli kabisa mafirst borns tuna raha na shida, raha ni pale wazazi wanapozingatia mawazo yako kwenye maamuzi,kuna kaheshima fulani hivi, mimi dada mkubwa nna kaucontrol flani hivi mixer vibao na makonzi madogo wakizingua ila pia ntahakikisha vitu vimeenda sawa wamekula, wako sawa nk. Shida naona kabisa nakabidhiwa majukumu vizinga vya wanafunzi mara dada nimeishiwa pesa ya matumizi shule aargh nikiwa sina nawajibu wazazi wenu si wapo? Why mnaniomba mimi😂😂

Proudly firstborn miye😍
 
Hongera kama wazazi wameweza kukutegemea japo kipato hakitoshi. Ni vita kubwa ya kiroho wamepambana nawe pia umepambana bila kujijua maybe hadi wewe umefika hapo.
Amen Mkuu. Shukrani Sana kwa elimu hii
 
Hongera kama wazazi wameweza kukutegemea japo kipato hakitoshi. Ni vita kubwa ya kiroho wamepambana nawe pia umepambana bila kujijua maybe hadi wewe umefika hapo.
Kuna wazazi wengi watoto zao wa kwanza hawawezi hata kuwategemea kwa ushauri maana mshale wa dira upo kusini badala ya kaskazini yaani kama

Hakuna kitu najivunia kua first born
My age is 26 now
Kuna wakat nnawatumia hera madogo...then i like their reply utasikia mungu akibariki brother.....after few days utakuta nmekamata deal nyinginzuri
Juzi kat dogo yupo chuo kaniomba hera ya pc
Nipo mapambanoni kumptaftia kam 350 hivi coz I knownkimpa hiyo actually mungu ananipa twice
Kuna wakati nawapigia simu nnaongea nao wananisikiliza utasikia Sawa Brothr tena kwa adabu

Jivunie mwanangu
 
Hongera kama wazazi wameweza kukutegemea japo kipato hakitoshi. Ni vita kubwa ya kiroho wamepambana nawe pia umepambana bila kujijua maybe hadi wewe umefika hapo.
Exactly, mimi kuna first born namjua yeye dish limeyumba hata haelewi dunia inaendaje ana watoto wawili na aloachwa hawezi hata kushughulika na watoto basi second born ndo anaisoma aakikishe wadogo zake wawili mambo yanaenda na sister ake mambo yaende na familia yake iende huku bimkubwa wake kila siku lawama wale madogo wawili wanavozingua mwingine yeye anataka mziki tu kipaji chewnyewe hakuna akili mziki bro anawapa mitaji wapi anaamua kuwaacha bimkubwa kelele yale bro yule wakat mwingine anakua kama amestuck mama ake akianza kumpa lawama na laana hajali madogo, madogo wakiwezeshwa pesa wanapeleka studio mambo ya mziki mwngin anafunga safari ya dar kujua kununua nguo akirudi anaenda studio kupiga picha anaaza kujipost
 
Tatizo lenu nyie akina dada, hata ukiwa first-born unajifanya kuwa siyo first-born. Unapitisha majukumu kwa wadogo zako wa kiume.
1st born mna raha hasa kipindi mnasoma.
Mahitaji yote muhimu mnapewa ,yaani macho yote yanakuwa kwenu.
Wasaidieni wazazi kutusomesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amen Mkuu. Shukrani Sana kwa elimu hii

Hakuna kitu najivunia kua first born
My age is 26 now
Kuna wakat nnawatumia hera madogo...then i like their reply utasikia mungu akibariki brother.....after few days utakuta nmekamata deal nyinginzuri
Juzi kat dogo yupo chuo kaniomba hera ya pc
Nipo mapambanoni kumptaftia kam 350 hivi coz I knownkimpa hiyo actually mungu ananipa twice
Kuna wakati nawapigia simu nnaongea nao wananisikiliza utasikia Sawa Brothr tena kwa adabu

Jivunie mwanangu

Exactly, mimi kuna first born namjua yeye dish limeyumba hata haelewi dunia inaendaje ana watoto wawili na aloachwa hawezi hata kushughulika na watoto basi second born ndo anaisoma aakikishe wadogo zake wawili mambo yanaenda na sister ake mambo yaende na familia yake iende huku bimkubwa wake kila siku lawama wale madogo wawili wanavozingua mwingine yeye anataka mziki tu kipaji chewnyewe hakuna akili mziki bro anawapa mitaji wapi anaamua kuwaacha bimkubwa kelele yale bro yule wakat mwingine anakua kama amestuck mama ake akianza kumpa lawama na laana hajali madogo, madogo wakiwezeshwa pesa wanapeleka studio mambo ya mziki mwngin anafunga safari ya dar kujua kununua nguo akirudi anaenda studio kupiga picha anaaza kujipost
 
Kweli kabisa mafirst borns tuna raha na shida, raha ni pale wazazi wanapozingatia mawazo yako kwenye maamuzi,kuna kaheshima fulani hivi, mimi dada mkubwa nna kaucontrol flani hivi mixer vibao na makonzi madogo wakizingua ila pia ntahakikisha vitu vimeenda sawa wamekula, wako sawa nk. Shida naona kabisa nakabidhiwa majukumu vizinga vya wanafunzi mara dada nimeishiwa pesa ya matumizi shule aargh nikiwa sina nawajibu wazazi wenu si wapo? Why mnaniomba mimi

Proudly firstborn miye
Yani Mimi vizinga vya home siwezi kupangua. Sipendi kuona wazazi/wadogo zangu wanashida Yana hata Kama ninakidogo nitajinyima niwape
 
Yani Mimi vizinga vya home siwezi kupangua. Sipendi kuona wazazi/wadogo zangu wanashida Yana hata Kama ninakidogo nitajinyima niwape
Ni kweli aisee mi mwenyewe huwa nanuna tu ila inabidi niwatumie, ila kuna dogo moja linaniudhi vizinga daily yaani nikiiona simu yake najua kumekuchaa mara asingizie amebakiwa na buku 2 tu shule😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom