Kuwa CCM ni raha

Kuwa CCM ni raha

El Roi

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2020
Posts
297
Reaction score
537
Nilipokuwa naangalia taarifa ya habari Leo nimeona walimu wanaojiita makada wa ccm waziwazi wakisema wako kwenye harakati za kusaidia chama chao.

Kilichogonga haraka mawazoni mwangu ni, inawezekanaje wafanyakazi wa Umma( civil servants) wafanye siasa za wazi( active politics) na bado wakawa hawajafanya kosa ktk utumishi wa umma?

Hivi wangeonekana wachama wa vyama vingine vya siasa wakifanya hivyo, wangebaki salama? Au ndo ile dhana ya absolute power corrupts absolutely??

Hakika naamini Sasa madaraka ni ulevi mbaya. Ebu wanaotuongoza waweke precedence yakutuongoza justly( kwa haki).
 
Yule Askari aliyepiga picha na mbowe wa jwtz... Alifukuzwa kazi.

Hao walimu wa CWT hawana msaada kwa walimu wenzao labda kufirisi yale mapato ya Kila mwezi..,...
 
Yule Askari aliyepiga picha na mbowe wa jwtz... Alifukuzwa kazi.

Hao walimu wa CWT hawana msaada kwa walimu wenzao labda kufirisi yale mapato ya Kila mwezi..,...
Sole mkuu marekebisho alipiga picha na Lema.
 
Ulitakaje kwani?
2306076_1572191514899.jpeg
 
Nilipokuwa naangalia taarifa ya habari Leo nimeona walimu wanaojiita makada wa ccm waziwazi wakisema wako kwenye harakati za kusaidia chama chao. Kilichogonga haraka mawazoni mwangu ni, inawezekanaje wafanyakazi wa Umma( civil servants) wafanye siasa za wazi( active politics) na bado wakawa hawajafanya kosa ktk utumishi wa umma? Hivi wangeonekana wachama wa vyama vingine vya siasa wakifanya hivyo, wangebaki salama? Au ndo ile dhana ya absolute power corrupts absolutely?? Hakika naamini Sasa madaraka ni ulevi mbaya. Ebu wanaotuongoza waweke precedence yakutuongoza justly( kwa haki).
Nduguway kasema genge lijalo atahakikisha ukomo unaondolewa...
 
Yule Askari aliyepiga picha na mbowe wa jwtz... Alifukuzwa kazi.

Hao walimu wa CWT hawana msaada kwa walimu wenzao labda kufirisi yale mapato ya Kila mwezi..,...
Yule aliyemuua Mwangosi karudishwa kazini,na amehamishiwa Dodoma. Kalipwa mishahara yote kwa kipindi chote akiwa jela
 
Nilipokuwa naangalia taarifa ya habari Leo nimeona walimu wanaojiita makada wa ccm waziwazi wakisema wako kwenye harakati za kusaidia chama chao.

Kilichogonga haraka mawazoni mwangu ni, inawezekanaje wafanyakazi wa Umma( civil servants) wafanye siasa za wazi( active politics) na bado wakawa hawajafanya kosa ktk utumishi wa umma?

Hivi wangeonekana wachama wa vyama vingine vya siasa wakifanya hivyo, wangebaki salama? Au ndo ile dhana ya absolute power corrupts absolutely??

Hakika naamini Sasa madaraka ni ulevi mbaya. Ebu wanaotuongoza waweke precedence yakutuongoza justly( kwa haki).
Bado sana mtaona maajabu mkiruhusu waingie awamu ya pili.
 
Back
Top Bottom