Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Mtu mshamba anapojaribu kufanya jambo flani ili aonekane mjanja hujikuta anakosea na kuzidi kuonekana mshamba maradufu.
Ccm kila wanapojaribu kufanya jambo flani ili waonekane ni chama safi, wanajikuta wanakosea na kuzidi kukichafua chama chao na kuonekana ni adui mbele ya watanzania.
Viongozi wa ccm na vibaraka wao wamekua kama wajenzi wa mnara wa babeli,
Nape akiomba nyundo nchemba analeta msumeno,
shingela akiomba msumari wassira analeta koleo,
Nchimbi akiomba kobiro tendwa analeta bawaba.
CCM imelaanika kiwango ambacho kila maovu wanayofanya yanadhihirika mbele ya watanzania.
Ccm is in grave condition.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ccm kila wanapojaribu kufanya jambo flani ili waonekane ni chama safi, wanajikuta wanakosea na kuzidi kukichafua chama chao na kuonekana ni adui mbele ya watanzania.
Viongozi wa ccm na vibaraka wao wamekua kama wajenzi wa mnara wa babeli,
Nape akiomba nyundo nchemba analeta msumeno,
shingela akiomba msumari wassira analeta koleo,
Nchimbi akiomba kobiro tendwa analeta bawaba.
CCM imelaanika kiwango ambacho kila maovu wanayofanya yanadhihirika mbele ya watanzania.
Ccm is in grave condition.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums