Kuvuja siri & kauli ya Msajili vyathibitisha ukweli wa mtonyaji serikalini kuhusu vifo mikutanoni

Mambo yote yanaweza semwa na kuweka mipango mingi ya viongozi kutoa kauli mbalimbali za ajabu.
Kubwa ni kuwa suala la kufungia chama hawaliwezi, tena kamwe hawataweza simamisha uelekeo na haja ya kweli ya wananchi ya kuona mabadiliko. Wakifuta chama, watakuwa wanatia mafuta kwenye moto, wakifuta chama- hawatakuwa wamefuta dhamiri ya kweli ya mabadiliko. Hebu wajaribu ili waone ukweli wa haja ya mabadiliko.
 
Ndugu Aweda na wachangiaji wengine, Mi naona kama tunawachelewesha hawa watu kwa haya maneno maneno kwenye mitandao. Hivi unadhadhani ANC wangeendelea na maneno maneno kwenye mitandao wale makaburu wangesalimu amri. Tunao ushahidi wa kutosha kuwa CCM inaendesha nchi vibaya, na kwamba wanatisha watu waogope kufanya siasa. Mi naomba mtu aanzishe uzi wa mawazo nini tufanye kutoa hili joka shimoni. Vifo vya USA river, Morogoro na sasa Iringa tuviite kichocheo cha hasira ya kushuhulikia hili joka. Hili si kundi la kutoka kwa hiari. Tunao sasa ushahidi kuwa Kaunda wa Zambia na chama chake walikuwa na busara zaidi kuliko hawa watu. Kuna watu wamepoteza maisha tayari kwa sababu za siasa. Njoeni tujadili majani gani yatafaa kutengeneza moshi kutoa hizi nyuki za ccm nje ya huo mzinga wao wa asali ya ufisadi. Kama umechona na manenomaneno yetu haya badala ya vitendo sema Amen...
 
Kweli hakuna marefu yasiyo na nchi, nakubali;
Unakwenda Asia kununua mtambo wa kuingilia simu za watu ili uwabambikizie kesi - unakwama.
Unamkamata mtu unampiga na kumwua kisha unamtupa mabwepande - Kumbe hajafa anafufuka.
Unaanza harakati za kuchafua chama na kutunga sheria mbovu - siri zinavuja kabla.
Unapanga deal la kuwapoteza akina Slaa, Mnyika na LEMA-- Wenzako wanakusaliti wanatoa siri.
Sasa huko kama siyo kufika mwisho ni nini?


wameingiza silaha silaha za sumu tumejua. hakuna jambo watakalofanya tusilijue
 
Ndugu Aweda na wachangiaji wengine, Mi naona kama tunawachelewesha hawa watu kwa haya maneno maneno kwenye mitandao. Hivi unadhadhani ANC wangeendelea na maneno maneno kwenye mitandao wale makaburu wangesalimu amri?. Tunao ushahidi tosha kuwa CCM inaendesha nchi vibaya, na kwamba wanatisha watu waogope kufanya siasa. Tuanzishe vurugu ukweli badala hizi za kutunga ambazo wanadai wanaziona tuwatoe hawa watu madarakani. Hiyo tu mi naona ndo dawa iliyobaki. Vifo vya Igunga, USA river, Morogoro na sasa Iringa tuviite kichocheo cha hasira. Hili si kundi la kutoka kwa hiari hata kidogo. Tunao ushahidi kuwa Kaunda wa Zambia na chama chake walikuwa na busara zaidi kuliko hawa watu kwa kuwa upepo wa siasa katika nchi ile ulielekeza mageuzi na wao wakatii. Hapa hawataki kututii sisi wananchi, badala yake wanaua na kutisha watu. Mi naona tujadili vurugu ipi itafaa badala ya sheria ipi itafaa. Hamna sheria yoyote itakayofaa kwenye nchi ambayo haifuati sheria. Njoeni sasa tujadili ni majani gani yatafaa kutengeneza moshi kulitoa hili joka pangoni, ni majani gani yatafaa kutoa hizi nyuki za ccm nje ya huu mzinga wao wa asali ya kifisadi. Kama umechoka na manenomaneno badala ya vitendo sema Amen...
 
Kama hizi habari ni za kweli,basi Watanzania wote tunatakiwa kuwa makini sana na upande wanaotupeleka hawa Viongozi wetu.Dhuluma na ufisadi mwisho wake siku zote ni kuumbuka hadharani.Time will tell.
 
Ufisadi na wizi wa rasilimali za nchi hauwezi kuendelea kuiweka ccm madarakani na haya mapolisi yasipotumia akili kama makada wa ccm raia tukiamua tunauwezo wa kuwathibiti in a calm manner!

polisi wa TANZANIA bwana wakisikia mtu kahujumu uchumi wa nchi kwa kutorosha mabilioni kwa mabilioni kwenda uswiss hilo wao haliwagusi hata kidogo.ila wakisikia mtu anakwenda kwenye mkutano wa chama cha siasa lazima wamsulubu na hata kumuua.hivi wanajua kuwa wanatenda dhambi???
 
pamoja na io movie yao,walichokosea ni kumuua mwandishi wakijua watatengeneza uhasama kati ya cdm na taaluma ya habari tanzania,but mungu aliemponya ulimboka pia amemtwaa mwangosi na kuwaachia fedheha na aibu kubwa serikari dhalimu ya ccm,
 
Mikael P Aweda, hebu ungana nami kuishangaa serikali yetu! Inakuwa inapanga mipango ya hovyo na kij.inga namna hii? Yaani hata kama ni mbinu wanatumia mbona za kijinga? Wamefanya hivyo kwa ulimboka mbona wameumbuka. Wasidhani kwamba kwa Chadema wataweza! Mwalimu alisema matajiri ndio wasiopenda mabadiliko. Kwa Tendwa na Nchimbi kwao nchi ina amani. Kwa kuwa hawapandi daladala za gongo la mboto au mbagala, kwa kuwa hawauzi utumbo manzese, kwa kuwa watoto wao wanasoma st something au pengine nje ya nchi, kwa kuwa wao wanatembelea v8, kwa kuwa wao wanatibiwa India, kwa kuwa wao hawajui kule Uvinza, Kibondo, Kaliua, Usoke, Mkonazini, Matombo, Masai, na maeneo mengi wanaishije, baaaaaaaasi. Nchi ina amani na hawaini kwanini m4c iwepo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu wakiendelea kung'ang'ania kuiharibu CHADEMA watajiharibu wao.
tena watajiharibu wao na vizazi vyao maana watashindwa na wakishindwa tutawawinda popote walipo,cha kufurahisha ni kwamba cdm haitapata ugumu kutawala kwa sababu licha ya uchumi kuonekana umeyumba mali nyingi wanazo wao,watoto zao na mahawara zao.na kwasababu ni mali nyingi sana tutakachofanya ni kuzichukua na kuziingiza kwenye mzunguko wa kiuchumi.kisha tutaanza kuuonyesha umma kwamaba wao ni wezi na tutawadhalilisha ili kama miongoni mwa viongozi wengine wa cdm kuna mamluki wakituona wajue na wao wakijaribu moto utawawakia.tutawachapa fimbo za masaburi na kazi ngumu kama ambavyo wamewahukumu watu kwa chuki sababu eti waliwachukulia hawara zao.aibu kwao manyang'au.ukombozi u mlangoni unajongea ndio maana papa na nyangumi wanaweweseka maana bahari imechafuka kisa samaki wado wanaungana kuwaangamiza.amka mtanzania tuupeleke uchafu jalalani.
 
Mkuu 2010 CDM walishinda kupitia Hilo sanduku la kura hatma yake tukachakachuliwa tukatulia kulinda Amani ambayo ni mbegu za uoga tulizopandiwa, democrasia imeendelea kubakwa tumetulia, ni ukweli usiofichika kuwa viongozi wa CDM wanafanya kazi to the maximum lakini ccm inahitaji nguvu zaidi ya hizo.

Point yangu ni kwamba. CDM imekuwa ikiandaa maandamano bila mafanikio tena ya Amani, ccm inahitaji kutolewa kwa nguvu ya uma na sio sanduku la kura Mkuu, angalia yanayojiri kwenye Uchaguzi wa wabunge je uraisi unadhani itakuaje? Huku mtaani kila mtu anasubiria kauli ya Dr au Mbowe kuitoa ccm kwa nguvu ila mnawakatisha tamaa kwa ukimya uliopo kiasi kwamba wanahisi kuwa CDM ni dhaifu Kama ccm, Tendwa katangaza wazi kuifuta CDM kwanini tusubirie mpaka hayo yatikee? Tunataka kauli thabiti na sio slogan tena, tunakufa kila Siku kwa kujenga chama kwanini tusife kwa kuikomboa Nchii?? Hayo ndio mawazo yangu mkuu

Kwa jinsi ninavyowajua viongozi wa kitaifa wa Chadema hawapendi kabisa nguvu itakayomwaga damu ya watz nami nawaunga mkono ktk hilo. Tatizo ni kwamba kwa sasa wamebanwa kila kona na wanalazimishwa kutumia nguvu wasiyoitaka au tusiyoitaka. Je, uvumilivu wa Chadema utaweza kuendelea kudumu ktk mazingira haya kwa muda gani? Hata tukiendelea kunyamaza tukaendelea kuburuzwa namna hii, wananchi watatuelewa mbeleni? Mimi nadhani muda si mrefu mambo haya yatajipambanua yenyewe. Nahisi pendekezo lako linaweza kuanza kutekelezwa na viongozi wa CDM kwa nguvu na msukumo wa wananchi bila matakwa yetu - yaani kuitisha maandamano ya nchi nzima. Mungu atusaidie.
 
Ndugu Aweda na wachangiaji wengine, Mi naona kama tunawachelewesha hawa watu kwa haya maneno maneno kwenye mitandao. Hivi unadhadhani ANC wangeendelea na maneno maneno kwenye mitandao wale makaburu wangesalimu amri?. Tunao ushahidi tosha kuwa CCM inaendesha nchi vibaya, na kwamba wanatisha watu waogope kufanya siasa. Tuanzishe vurugu ukweli badala hizi za kutunga ambazo wanadai wanaziona tuwatoe hawa watu madarakani. Hiyo tu mi naona ndo dawa iliyobaki. Vifo vya Igunga, USA river, Morogoro na sasa Iringa tuviite kichocheo cha hasira. Hili si kundi la kutoka kwa hiari hata kidogo. Tunao ushahidi kuwa Kaunda wa Zambia na chama chake walikuwa na busara zaidi kuliko hawa watu kwa kuwa upepo wa siasa katika nchi ile ulielekeza mageuzi na wao wakatii. Hapa hawataki kututii sisi wananchi, badala yake wanaua na kutisha watu. Mi naona tujadili vurugu ipi itafaa badala ya sheria ipi itafaa. Hamna sheria yoyote itakayofaa kwenye nchi ambayo haifuati sheria. Njoeni sasa tujadili ni majani gani yatafaa kutengeneza moshi kulitoa hili joka pangoni, ni majani gani yatafaa kutoa hizi nyuki za ccm nje ya huu mzinga wao wa asali ya kifisadi. Kama umechoka na manenomaneno badala ya vitendo sema Amen...

Well pendekezo lako ni very radical,
Lakini ndio hisia ya watz walio wengi ambao wanapata mlo moja kwa siku. Wanafunga mwaka mzima kwa ajili ya Ramadhani na kwaresma bila kutaka - ya kulazimishwa na njaa.
Mawazo yako yanaendana na watz wote walionyang'anywa ardhi yao wakapewa wakoloni wapya- waliobatizwa kwa jina la wawekezaji kupitia sheria mbovu.
Ndivyo wanavyowaza wote wanaofiwa na ndugu zao hospitalini kisa hamna dawa,
Ndivyo wanavyowaza wote ambao watoto wao wanapata div 4 na 0 kila mwaka na zaidi ya 88%
Wangepende Chadema itangaze maandamano ya kitaifa ya kuwatoa ccm kwa nguvu lakini vile vile tungependa sana kama inawezekana tukio hilo litokee bila umwagaji damu wo wote. Je, ccm wanaweza wakaachia nchi kwa amani? Hilo haliwezekani! Kuendelea kuwa chini ya ccm tunakufa na wengi kulala njaa damu inamwagika tena nyingi. Tukiandamana kuwaondoa vivyo hivyo, damu itamwagika -hatujui kiasi. Kupanga ni kuchagua. Ila jua kuwa viongozi wetu hawapendi kabisa damu imwagike ndo maana mwaka 2010 walijua wanaibiwa kura hawakutangaza maandamano kama ya Raila Odinga. Kwao amani kwanza. Swali ni je, amani wanaitaka kwa hali ilivyo ipo? Time will tell
 
Mkuu Asante kwa maelezo mazuri na nimefurahi kwani umenielewa point yangu na umenitia nguvu sana. Kiukweli nilichosema ndicho wananchi wanachotaka kwani tunaamini Hata tukivumilia for century ccm haiwezi kutolewa madarakani kwa sanduku la kura wako tayari kwa lolote ndio maana viongozi wake hawajali hawaogopi na wala hawasikii chochote....tunaomba uwaambie akina dr slaa Kama tulivyo waamini hatuko tayari kusubiria tena na Kama ni damu kumwagika kila Siku inamwagika bure tuu na Kama wanavosema ukombozi hauji ikiwa umekaa unausubiria na sisi wananchi hatuko tayari kukaa tena tutakufa mia moja watanufaika million 100 ndani ya miaka 50 ijayo...tafadhali tufikishie ujumbe huu tusije waona wao ni wasaliti.
Asante Mkuu



Kwa jinsi ninavyowajua viongozi wa kitaifa wa Chadema hawapendi kabisa nguvu itakayomwaga damu ya watz nami nawaunga mkono ktk hilo. Tatizo ni kwamba kwa sasa wamebanwa kila kona na wanalazimishwa kutumia nguvu wasiyoitaka au tusiyoitaka. Je, uvumilivu wa Chadema utaweza kuendelea kudumu ktk mazingira haya kwa muda gani? Hata tukiendelea kunyamaza tukaendelea kuburuzwa namna hii, wananchi watatuelewa mbeleni? Mimi nadhani muda si mrefu mambo haya yatajipambanua yenyewe. Nahisi pendekezo lako linaweza kuanza kutekelezwa na viongozi wa CDM kwa nguvu na msukumo wa wananchi bila matakwa yetu - yaani kuitisha maandamano ya nchi nzima. Mungu atusaidie.
 
tena watajiharibu wao na vizazi vyao maana watashindwa na wakishindwa tutawawinda popote walipo,cha kufurahisha ni kwamba cdm haitapata ugumu kutawala kwa sababu licha ya uchumi kuonekana umeyumba mali nyingi wanazo wao,watoto zao na mahawara zao.na kwasababu ni mali nyingi sana tutakachofanya ni kuzichukua na kuziingiza kwenye mzunguko wa kiuchumi.kisha tutaanza kuuonyesha umma kwamaba wao ni wezi na tutawadhalilisha ili kama miongoni mwa viongozi wengine wa cdm kuna mamluki wakituona wajue na wao wakijaribu moto utawawakia.tutawachapa fimbo za masaburi na kazi ngumu kama ambavyo wamewahukumu watu kwa chuki sababu eti waliwachukulia hawara zao.aibu kwao manyang'au.ukombozi u mlangoni unajongea ndio maana papa na nyangumi wanaweweseka maana bahari imechafuka kisa samaki wado wanaungana kuwaangamiza.amka mtanzania tuupeleke uchafu jalalani.

Freeman Mbowe; Wao wana silaha, sisi tuna Mungu.
 
Police intelligence! Uko hapo? Zile msg za Dr Slaa zililenga kumzindua Mwema kwamba CDM walijua mipango ya kivita iliyokuwa inasukwa!
 
Utamu wenywewe ni kwamba taarifa hizi huwa zinavuja kutoka kwenye vyazo vya uhakika ndani ya mabwepande, yaani kutoka kwa wale walio wasafi but wanashindwa kujinasua kutokana na system uozo. This means every stupid move they make will instantly be publisized.
 
Kwanini Kunakuwa na maelezo mengi kujua kama mwenye makosa ninani kati ya CDM na Polisi? Polisi huwa wanapewa taarifa tu juu ya maandamano au mikutano ili wakalinde. Vyama vya siasa hawaombi kibali polisi, kwahiyo polisi hawaruhusiwi kukataza kufanyika kwa mikutano au maandamano. Kama kunahisia za kuvunjika kwa amani katika mikutano au maandamano basi polisi wanatakiwa kukaa na viongozi wa chama husika na kuangalia jinsi ya kufanikisha maandamano au mikutano bila kutokea hizo vurugu. SASA POLISI WANAFIKIRI WAO NI WATOA VIBALI VYA MIKUTANO AU MAANDAMANO, kawhiyo kinachofanyika ni kosa kwa polisi kuzuia au kulazimisha kuzuia mikutano, kwa kulazimisha kuzuia ndio chanzo cha vurugu.
 
Ni upepo tu, hata mataifa yaliyostarabika kama marekani upepo huu ulivuma na serikali dhalimu na wajukuu zao police walishikishwa adabu. Kasaa ka ukombozi ni haka, it is our turn NOW.
 
Back
Top Bottom