Kuvua pichu pasipo kupenda

Kuvua pichu pasipo kupenda

Yereuwiii jamani mimi miss wa watu kumbe kuna wanaume wanapenda tigo sana uwiiii ... aya basi huu mchezo niuache nisije liwa tigo

bora ukamakataa au ukakataa mazima sio unaleta mapenzi yamapicha picha na yakwenye filam .
unajijua upo kwenye period unakwenda kwa mwanaume kufanya nini wakati unajua kutwa ukiwa mzima unampiga chenga?
ukikutana na wabishi wanatifua hivyohivyo na ndom utajijua ww na period yako.
au wanakutafuna ndogo.

ww unajijua upo majangani unaenda kufanya nini kwa mwanaume kama sio kutafuta kufi**wa
 
Kama kuna mtu unamfanyiaga hivi huyo mtu ni mbulula sana. Yani mi ntakutega na utategeka tu. Mwanamke mwalimu wao ni kipofu.

Tena ana akili mbili tu;ya kuvuka barabara na ya kujistiri wakat wa period,bhaaas....ASHAKUM!
 
Huna tofauti na mtu unatoka nae anakula,anakunywa,nachoma mafuta mpaka lodge nalipa unaniangalia tu,kufika ndani eti oooh nko period!! Unatarajia what next after all expenses? Unagegedwa hivohivo,au rinda linatatuliwa/0714-,roho mbaya wengine hatujazaliwa nazo ila mnatutengenezea wenyewe
 
Huna tofauti na mtu unatoka nae anakula,anakunywa,nachoma mafuta mpaka lodge nalipa unaniangalia tu,kufika ndani eti oooh nko period!! Unatarajia what next after all expenses? Unagegedwa hivohivo,au rinda linatatuliwa/0714-,roho mbaya wengine hatujazaliwa nazo ila mnatutengenezea wenyewe

Hahahahhaah nomaaaaa
 
Mapenzi ya kumvulia chupi unayempenda tu mwisho Form Six!Mlipo enda tu vyuo huko ni HELA tu!

Mnaongea tu hapa kufurahisha genge!Mademu kibao wanagongwa huku wamenuna tena wengine kwa style za kikatili lkn wanaondoka na Wekundu wa Msimbazi wakale bata sasa na wanao wapenda!
 
Shkamoon wakuu
Kuna kitu najiuliza labda kuna watu wana uzoefu humu
Mie nlishawahi kujaribu kuwaza jinsi ya kumvulia pichu mwanaume ambaye hayupo moyoni mwangu
Hii siyo mara moja kiukweli ni mtihani sana kujilazimisha kuect kumpenda mtu fr somthing labd ingekuwa naweza hicho kitu ningekuwa hata mh.umukagame naw ningekuwa levo zngne kabsa lakn nshashindwa
Wenzangu em nambien kama kuna yyte alishawahi kujilazimisha kumpenda mtu na akafanikiwa!!mie moyo ukishasema no huwa inakuwa no kwel cbadilishwi

Marahaba mjukuu wangu .Hebu ngoja nikuulize mara moja hivi PICHU maana yake nini .Ufafanuzi tafadhali.
 
Njoo katika group letu la whats ap linaloitwa mapenzi tele huko utajuzwa mengj yahusuyo mapenzi

Weka namba yako hapa nami nitakuad
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom